Recent content by niquetamere

  1. N

    JamiiForums Tanzania Maji ya ziwa Viktoria yavamia makazi Lamadi, kaya 400 hazina pa kwenda

    Maji hayavamii makazi. Yana mkondo wake. Stay clear or get swept
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Hasibu la kikoloooooooooo! Kolooooooooooo. Hasibu lililopagawa
  3. N

    JamiiForums Tanzania Gari la UN lapata ajali likiwa limebeba madini

    Kuna sehemu ametaja muda?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Wanaume kulala chumba kimoja na uwezekano wa kupitiwa na shetani

    Mkuu sema unataka justification ya kubanduliwa kwako
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mike Tyson, The baddest man on the planet

    Angeuliwa
  6. N

    JamiiForums Tanzania Niwekeze kiasi gani UTT AMIS ili gawio langu kwa mwezi ifike 250k

    Hii UTT ni tatizo. Uwekezaji hauendani na returns
  7. N

    JamiiForums Tanzania Niwekeze kiasi gani UTT AMIS ili gawio langu kwa mwezi ifike 250k

    Kwahiyo ukiweka 30 M afu ukawa unapata 250k kwa mwezi. After 10 years hii 30M itakuwa imefika how much (projection as per status quo)?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Simuliaji la mchongo
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vidada vya kituruki vichafu hatari

    Mkuu hao huwa wachafu kinoma. Huwa vyeupe vyeupe hivi ila rangi za vidole na viwiko haziendani na huo weupe. Sasa kwa bibi ndo usiseme, ni hatari! Rangi mbaya kinoma! Vinapenda kinoma kutumia filters za camera.
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Boss wangu amemtolea mahari mwanamke mwingine; naumia sana

    Tulia bibie. Usipanick. Mpe 1 - 2 years, atakutafuta na mtaendelea kubanduana vizuri kama kawaida
  11. N

    JamiiForums Tanzania Je wajua, Turkmenistan inaruhusu magari meupe tu?

    Mleta mada huu upumbavu bakisha huku huku 2023, usiende nao 2024
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

    Mfano mzuri wa jinsi kizazi kilivyoharibika. Miaka ya 90, mtu angeambiwa unaenda bar bila hela, utaosheshwa glass au utabondwa au ingekuwa miaka ya 2000 angeambiwa utaacha dhamana ya simu. Ila siku hizi ndo hivi mtu anawaza shoga. Ni tatizo kubwa sana kwa mwanaume kukimbilia kuwaza ushoga first...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Afu sio kwa chai hii kali kabisa ya tangawizi. So mkuu wewe ukiondoka mademu huwa wanakufata tu😃😃😂😂 1.ulikuwa unatoka sengerema kuendelea mwanza mjini, merry akakuungia😂 2.ukaomba kwenda dar es salaam , merry nae akaunga 3.ilikuwa urudishwe bongo ila ukaomba kwenda iran na fatemeh akaridhia...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Yan unatuambia kwamba the most precious and most protected asset of the iranian intelligence ndo ilipelekwa huko huavalla sijui huvalla kwenye mashamba ya coca? Nani alikuwa anamlinda hapo shambani? Au hilo shamba ni la hao MOIS?
Back
Top Bottom