Recent content by nipo2

  1. nipo2

    JamiiForums Tanzania Nilivyowahi maishani

    Haya maisha tunapitia mengi sana yanayosimama kama vikwazo kwenye safari ya maisha yetu.... vijicho vya watu, sIrikali😁 plus wachawi....! Lakini katika yote marufuku kukata tamaa!
  2. nipo2

    JamiiForums Tanzania Nilivyowahi maishani

    Dah wanaume tunapitia mengi sana
  3. nipo2

    JamiiForums Tanzania Nilivyowahi maishani

    Pole sana mwamba!
  4. nipo2

    JamiiForums Tanzania Uwezi kushinda dhambi au uraibu wowote kwa nguvu au akili zako, mpe nafasi Mungu akusaidia kuondoa changamoto hizo

    Amen! Barikiwa sana mjoli wa Bwana kwa andiko hili lenye kutuvusha! Kuna makosa ya kimaandishi kwenye andiko lako, jitahidi sana kuyapunguza ni mengi mno mtumishi!! Asante sana!
  5. nipo2

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Kuna fine unaandikiwa bila kuweka leseni yako! Wanaweka plate number ya gari! Na wakati mwingne unaweza andikiwa fine na traffic bila ya yeye kuhitaji kukusimamisha!!! Hii imewahi kunitokea mara mbili ya kuandikiwa fine bila kusimamishwa na wakaandika plate number!
  6. nipo2

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia unapokuwa na watu wakubwa kama Viongozi wa nchi au Matajiri

    Umenena vyema sana mtibeli
  7. nipo2

    JamiiForums Tanzania Kijana kama unataka ujijenge katika misingi ya masculinity na kutokubebeka na itikadi za kufikirika na za kisasa, basi fatilia madini ya watu hawa

    Haya yote ni sawa! Mwenye ako na kitabu cha Laws of Kai naomba anitumie
  8. nipo2

    JamiiForums Tanzania Kasema Robo tu! Asee, sema yote - umekuwa kwa nafasi unayoaminika kuliko sisi anonymous! Na taarifa yako inasambaa zaidi

    Unaweza kuta britanicca ndie slow slow...... Nmewaza tu...!!
  9. nipo2

    JamiiForums Tanzania Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

    Asee hii ni hatari! Hiyo ni Nigeria, Nchi kama DRC na Sudan inaweza kuwa ni zaidi!
  10. nipo2

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa makanisa na misikiti kulipa kodi ili wapate uchungu na kusimamia HAKI

    Uko sahihi ndivyo ilivyo! Kanisa au msikiti ukianzisha kitega uchumi chochote huwa wanalipa kodi!
  11. nipo2

    JamiiForums Tanzania Kutoana kafara kwenye familia, na Siri ya wazazi wetu

    Mkuu leta muendelezo
  12. nipo2

    JamiiForums Tanzania New prophet in Town. Ninafanya free style prophecy hapahapa JF

    November 02
  13. nipo2

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform No election
  14. nipo2

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kazi

    Mheshimiwa naomba umsaidie huyu mpendwa kama inawezekana kwa wadau wako aweze kuendelea na masomo yake Dkt. Gwajima D
Back
Top Bottom