Recent content by nipo2

  1. nipo2

    Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

    Asee hii ni hatari! Hiyo ni Nigeria, Nchi kama DRC na Sudan inaweza kuwa ni zaidi!
  2. nipo2

    Ni wakati sasa makanisa na misikiti kulipa kodi ili wapate uchungu na kusimamia HAKI

    Uko sahihi ndivyo ilivyo! Kanisa au msikiti ukianzisha kitega uchumi chochote huwa wanalipa kodi!
  3. nipo2

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform No election
  4. nipo2

    Naomba msaada wa kazi

    Mheshimiwa naomba umsaidie huyu mpendwa kama inawezekana kwa wadau wako aweze kuendelea na masomo yake Dkt. Gwajima D
  5. nipo2

    Jamani kweli hii sio kuvuja kwa umeme? Unit 28 kwa siku 6

    Vipi kuhusu matumizi ya pasi? Friji inatakiwa kuwashwa muda wote mkuu usizime friji! Japo kwa vitu ulivyotaja hapo kwa wastani hata kama unatumia pasi unatakiwa kwa wastani utumie units 2 kwa siku.
  6. nipo2

    Tuone picha ya Chuo alichosoma Mbunge aliwaamuru POLISI kumaliza KENGE

    Tangu 1997 hadi 2015 kasoma kidato cha kwanza hadi cha sita takribani miaka 18. Hii ni hatari na ajabu!
  7. nipo2

    SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Tuwekee mkuu Wafuatiliaji wako wa kimya kimya tunateseka na arosto!!
  8. nipo2

    SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Mbna hatuoni mkuu?
  9. nipo2

    Maziwa ya mama yameacha kutoka ghafla

    Zingatia ushauri hapo juu wa BIN NUN Tafuta pia unga wa mbegu za maboga; uchanganywe kwenye uji au autumie hivyo hvyo tatizo litaisha!
  10. nipo2

    Ni vilio tu huko Simba, Mo kapigwa changa la macho suala la Mpanzu

    Akili za watumiaji wa TECNO KG5j wanazijua wenyewe!!
Back
Top Bottom