Recent content by nipo2

  1. nipo2

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia unapokuwa na watu wakubwa kama Viongozi wa nchi au Matajiri

    Umenena vyema sana mtibeli
  2. nipo2

    JamiiForums Tanzania Kijana kama unataka ujijenge katika misingi ya masculinity na kutokubebeka na itikadi za kufikirika na za kisasa, basi fatilia madini ya watu hawa

    Haya yote ni sawa! Mwenye ako na kitabu cha Laws of Kai naomba anitumie
  3. nipo2

    JamiiForums Tanzania Kasema Robo tu! Asee, sema yote - umekuwa kwa nafasi unayoaminika kuliko sisi anonymous! Na taarifa yako inasambaa zaidi

    Unaweza kuta britanicca ndie slow slow...... Nmewaza tu...!!
  4. nipo2

    JamiiForums Tanzania Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

    Asee hii ni hatari! Hiyo ni Nigeria, Nchi kama DRC na Sudan inaweza kuwa ni zaidi!
  5. nipo2

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa makanisa na misikiti kulipa kodi ili wapate uchungu na kusimamia HAKI

    Uko sahihi ndivyo ilivyo! Kanisa au msikiti ukianzisha kitega uchumi chochote huwa wanalipa kodi!
  6. nipo2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutoana kafara kwenye familia, na Siri ya wazazi wetu

    Mkuu leta muendelezo
  7. nipo2

    JamiiForums Tanzania New prophet in Town. Ninafanya free style prophecy hapahapa JF

    November 02
  8. nipo2

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform No election
  9. nipo2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alikubali tuanzishe mahusiano wakati ashatolewa mahari na harusi inasubiri kupangiwa tarehe

    Asante mkuu nmeshatia timu!!
  10. nipo2

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kazi

    Mheshimiwa naomba umsaidie huyu mpendwa kama inawezekana kwa wadau wako aweze kuendelea na masomo yake Dkt. Gwajima D
  11. nipo2

    JamiiForums Tanzania Jamani kweli hii sio kuvuja kwa umeme? Unit 28 kwa siku 6

    Vipi kuhusu matumizi ya pasi? Friji inatakiwa kuwashwa muda wote mkuu usizime friji! Japo kwa vitu ulivyotaja hapo kwa wastani hata kama unatumia pasi unatakiwa kwa wastani utumie units 2 kwa siku.
  12. nipo2

    JamiiForums Tanzania Tuone picha ya Chuo alichosoma Mbunge aliwaamuru POLISI kumaliza KENGE

    Tangu 1997 hadi 2015 kasoma kidato cha kwanza hadi cha sita takribani miaka 18. Hii ni hatari na ajabu!
  13. nipo2

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Tuwekee mkuu Wafuatiliaji wako wa kimya kimya tunateseka na arosto!!
  14. nipo2

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Mbna hatuoni mkuu?
  15. nipo2

    JamiiForums Tanzania Maziwa ya mama yameacha kutoka ghafla

    Zingatia ushauri hapo juu wa BIN NUN Tafuta pia unga wa mbegu za maboga; uchanganywe kwenye uji au autumie hivyo hvyo tatizo litaisha!
Back
Top Bottom