NAENDELEA PARTY 19
Nilianza upelelezi mzee kayatoa wp haya maneno na kwanini watu hao wamemwambia mzee hayo mambo wana malengo gani...
Mzee akanibadilikia kabisa mpka yule dada angu anayenifata siku 1 akaniuliza kwani baba ulimfanya nn mbona mlikuwa mnaelewana sn kimetokea nn nikamjibu mi sjui nn kinaendelea ila tajua tu as soon.
Nikampata mchawi wa kwanza ni yule aunt yng aliyenilea ambaye alipnga sana mimi kusoma post kwamba nitafute kazi tu, na niligundua ni mtu mwenye wivu sana kumbe hata mimi kwenda university hakufurahia maana nilipata taarifa toka kwa watu wake wa karibu kwamba alikuwa anasema mimi nimalize six nipate 4 tu kisha niende diploma ya ualimu basi maana stafaulu kwa anavyoniona.
Nilipata meengi mazito sn khs yeye mpk ya uchawi madogo waliobaki pale kwake walikuwa wanasema alikuwa anafanya vikao pale kwake na watu wachawi huko vijijini ndo walikuwa marafiki zake wanakaa hapo kwake wanapanga mambo yao lakini si hilo tu alikuwa na tabia ya kuoga nje kwenye kona ya fensi usku wa manane na madogo walinionya sn huyu aunt yako si yule uliyekuwa unamjua kwasasa kuwa makini.
Ok nikaanza pata picha sasa kwa urahisi mzee anachanganywa na nani.
Nikapata mchawi mwingne ni huyu bro niliyewambia ni mwalimu aliyekuwa jirani yangu kwenye nyumba ya mzee yeye ni kama alikuwa anacheza kama msemaji na msambaza maneno kwa mzee na ndiye alizusha kauli ya kwamba mimi nilitumia hela za mzee kusomesha mwanamke alooo.
Nikapata mchawi mwngne ni yule aunt ambaye niliwaambia kuna taarifa alikuwa anatembea na mzee mpk wana mtoto. Huyu yeye kazi yake ni kukusanya vi umbea umbea na kuvisambaza kwa watu na kwa mzee akishrikiana na mke wa mzee, nadhani mnaona hapo timu ilikuwa iko full kbs iliyomchomoa mama yangu kwake ndo iyoiyo sasa iko mzigoni kunichomoa mimi kwa mzee.
Nilijiapza nitawakomesha mmoja baada ya mwngn na nilisema nitaanza na huyu aunt inayesemekana alikuwa anatembea na mzee ama zake ama zangu na alikuwa anaishi kwny nyumba ya mzee nyngne maeneo yaleyale ya kule home.
Nilimsaka kwa kumvizia akiwa katoka job nikasema lazma nimchane ukweli nilikuwa na hasira sn.....
Nilimpata mbele ya mwanae ambaye ndiye inasemekana kazaa na mzee nilimpa kubwa kuliko stakagi mambo ya kijinga mimi akajifanya kujiliza mi ninaye tu mpk akapandisha presha ninaye tu kisha nikasepa zangu kulala sasa mi mpk hapo skuwa najali tena amwambie mzee watajuana huko maana ukizngatia tyr mi nilishaamua liwalo na liwe tu. Nipo tayari kwa lolote mpaka hapo.
TAENDELEA
Mjue je
NAENDELEA PARTY 19
Nilianza upelelezi mzee kayatoa wp haya maneno na kwanini watu hao wamemwambia mzee hayo mambo wana malengo gani...
Mzee akanibadilikia kabisa mpka yule dada angu anayenifata siku 1 akaniuliza kwani baba ulimfanya nn mbona mlikuwa mnaelewana sn kimetokea nn nikamjibu mi sjui nn kinaendelea ila tajua tu as soon.
Nikampata mchawi wa kwanza ni yule aunt yng aliyenilea ambaye alipnga sana mimi kusoma post kwamba nitafute kazi tu, na niligundua ni mtu mwenye wivu sana kumbe hata mimi kwenda university hakufurahia maana nilipata taarifa toka kwa watu wake wa karibu kwamba alikuwa anasema mimi nimalize six nipate 4 tu kisha niende diploma ya ualimu basi maana stafaulu kwa anavyoniona.
Nilipata meengi mazito sn khs yeye mpk ya uchawi madogo waliobaki pale kwake walikuwa wanasema alikuwa anafanya vikao pale kwake na watu wachawi huko vijijini ndo walikuwa marafiki zake wanakaa hapo kwake wanapanga mambo yao lakini si hilo tu alikuwa na tabia ya kuoga nje kwenye kona ya fensi usku wa manane na madogo walinionya sn huyu aunt yako si yule uliyekuwa unamjua kwasasa kuwa makini.
Ok nikaanza pata picha sasa kwa urahisi mzee anachanganywa na nani.
Nikapata mchawi mwingne ni huyu bro niliyewambia ni mwalimu aliyekuwa jirani yangu kwenye nyumba ya mzee yeye ni kama alikuwa anacheza kama msemaji na msambaza maneno kwa mzee na ndiye alizusha kauli ya kwamba mimi nilitumia hela za mzee kusomesha mwanamke alooo.
Nikapata mchawi mwngne ni yule aunt ambaye niliwaambia kuna taarifa alikuwa anatembea na mzee mpk wana mtoto. Huyu yeye kazi yake ni kukusanya vi umbea umbea na kuvisambaza kwa watu na kwa mzee akishrikiana na mke wa mzee, nadhani mnaona hapo timu ilikuwa iko full kbs iliyomchomoa mama yangu kwake ndo iyoiyo sasa iko mzigoni kunichomoa mimi kwa mzee.
Nilijiapza nitawakomesha mmoja baada ya mwngn na nilisema nitaanza na huyu aunt inayesemekana alikuwa anatembea na mzee ama zake ama zangu na alikuwa anaishi kwny nyumba ya mzee nyngne maeneo yaleyale ya kule home.
Nilimsaka kwa kumvizia akiwa katoka job nikasema lazma nimchane ukweli nilikuwa na hasira sn.....
Nilimpata mbele ya mwanae ambaye ndiye inasemekana kazaa na mzee nilimpa kubwa kuliko stakagi mambo ya kijinga mimi akajifanya kujiliza mi ninaye tu mpk akapandisha presha ninaye tu kisha nikasepa zangu kulala sasa mi mpk hapo skuwa najali tena amwambie mzee watajuana huko maana ukizngatia tyr mi nilishaamua liwalo na liwe tu. Nipo tayari kwa lolote mpaka hapo.
TAENDELEA
Mjue je nini kilifata.
Nitarudi✅️