Recent content by nipeukweli

  1. nipeukweli

    Naibu waziri: Ulaji nyama na maziwa kwa Watanzania bado changamoto

    Huku tupo uchumi wa kati Huku nyama hailiki, maziwa hayanyweki Nafikiri nahitaji kuketi nielimishwe
  2. nipeukweli

    Ushauri kwa vyama vya upinzani juu ya vyombo vya habari

    Kasheshe ni kuwa wangapi tuna simu janja nchi hii?
  3. nipeukweli

    Uno na Baba lao zilikuwa nyimbo za kukurupuka

    Duh hii inajumuisha na mama yako, dada zako, mkeo n.k?
  4. nipeukweli

    Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

    Mwenyewe kaandika kajipinda alafu ndio gugatoka guthredi hugo
  5. nipeukweli

    CHADEMA kuchangisha Milioni 350 ni maigizo na fedheha

    Yaani watu wafanye vitu kwa pesa yao kwa jasho lao kwa furaha yao alafu kuna ngedere wapo concerned kwa niaba....fanya yanayokuhusu
  6. nipeukweli

    Koffi Olomide: Special Thread

    Hivi viingilio vikubwa ndio vyenyewe. Vibaka hawasogei
  7. nipeukweli

    CCM iko mioyoni na upinzani mitandaoni

    “Lile goli la mkono nililisema mimi”
Back
Top Bottom