Recent content by nimie

  1. nimie

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vya kuku 6,400 vyateketezwa kwa moto baada ya kukamatwa vikiingizwa nchini kinyume na sheria kutoka Kenya

    Kuwachoma moto tena! Akili zingine bana, kwani vilikuwa na ukimwi? "Atakayeua kwa upanga,..."
  2. nimie

    JamiiForums Tanzania Simba yaitega Yanga

    Cross over players: Simba wanaye Niyonzima tu na Yanga wana Yondani, Tambwe, Ajibu, Kessy na yule wa almanusura Buswita. Sijui kama inamaana kwa game hii.
  3. nimie

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Taifa urekebishwe!!!

    Mkuu, hao kwenye nyekundu sijui, ila hao wengine wanawekwa na rais tuliyemuweka!
  4. nimie

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Taifa urekebishwe!!!

    Tatizo ni la watanzania wenyewe, viongozi wake wote wanatakiwa kubarikiwa. Ila sisi tunawaweka viongozi wabovu! Fikiria kama tungeweka viongozi wazuri, hii nyuzi isingekuwa na mashiko. Tatizo sio wimbo, kwanza si 'wabariki viongozi wote' bali ni 'wabariki viongozi wake'.
  5. nimie

    JamiiForums Tanzania Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Kwa tabia aloonyesha huyu Malinzi, nachelea asije akatuingiza kwenye mambo ya Kenya!
  6. nimie

    JamiiForums Tanzania Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Kumbe kule kuanza kwa "kishindo" ilikuwa ni "diffensive mechanism". Malinzi tahadhari usiwe huu ni 'mwanzo wa mwisho wako'
  7. nimie

    JamiiForums Tanzania Unampa maksi ngapi huyu dogo?

    Angalia alivyoshika hiyo chaki ndo utajua maksi zangu.
  8. nimie

    JamiiForums Tanzania utani umenicost najuuta!!!

    Hana lolote anatikisa kiberiti, usimpigie, we subiri kameseji kake kama kale la mwanzo!
  9. nimie

    JamiiForums Tanzania Wanaume badilikeni!

    Hili wazo liambatane na maandalizi ya wanasheria na TAMWA kuwatetea watakaopigwa na kufukuzwa, na pia vituo vya kuwahifadhi hao wahanga wa 'mgomo'.
  10. nimie

    JamiiForums Tanzania utani umenicost najuuta!!!

    Ha ha ha kakugundua ulimtania, na yeye anakutania tu, ila wewe ndo uko serious!
  11. nimie

    JamiiForums Tanzania Alichofanyiwa Zitto ndani ya CHADEMA: Akili ndogo inatawala akili kubwa

    Mwigulu kwa maneno yako hayo nahisi kama 'mkorogo umedunda'!
  12. nimie

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyrere honoured at the United Nations

    Wengi wanaompinga Nyerere, ukiwaweka kwenye mizani wanainuka!
  13. nimie

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

    Huyu dogo tulianza KUMUAMINI, amegundua amepoteza kibali sasa anatushawishi kuwa hakuna wa kuaminiwa!
  14. nimie

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa jengo lililoleta maafa Dar apewa siku 30 kubomoa jengo lake lingine la ghorofa 16

    Huyo mama naye mnafiki tu, siku zote walikuwa wapi? wanasubiri hadi madhara yatokee ndio waanze kung'aka! Hili ni jengo la ngapi linaanguka, kwa nini wasichukue tahadhari mapema? kibongo bongo bwana, kila mtu msanii tu.
  15. nimie

    JamiiForums Tanzania Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

    shimba poleni, duh 4?
Back
Top Bottom