McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Mara nyng kibaya uwa kinapata sana nguvu ya kuenea au kunenwa hii ni hulka ya binaadamu wote mfn mumeo akirudi saa 12 jioni hauwezi kumsifia ila akirudi 8 usiku mtaa mzm utajua...kifupi kwa sisi wanaume mazuri mnayotufanyia tunaamini ni jukumu lenu tena haki yetu ivo ufanyapo kinyume ndo utatukuta umu JF tunalalama ila mbn sijawahi kuona uzi wa m'mke umu ndani ukimsifia m'ume kwa lolote ngoja tuone lakini MDHT ivi mkileta huo mgomo ni sisi pekee tunahitaji au umuhimu wa TENDO ni wa kwetu hapo ndo mnapokua dhaifu mkiamini nyie silaha yenu papuchi tu jaribu kuleta huo mgomo labda wenzetu mna mbala wa mgegedo.
Last edited by a moderator: