Capital
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,494
- 1,080
Mafisadi nani kayaweka madarakani? Viongozi mburula wana akisi (reflect) umburula wa wananchi waliowaweka madarakani. kwa mfano ELow.asa tunajuwa ni mwizi, tapeli,fisadi lakini haitoshangaza wananchi ambao wengi si wajuzi wa mambo kadha wa kadha wakimchagua kuwa kiongozi.
nadhani hata sisi wananchi tu matapeli na mafisadi ndio maana tunawachagua viongozi wa hovyo na kisha tunawaombea baraka kupitia wimbo wa taifa
capital
nadhani hata sisi wananchi tu matapeli na mafisadi ndio maana tunawachagua viongozi wa hovyo na kisha tunawaombea baraka kupitia wimbo wa taifa
capital