Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
....trying to serenade you with Salt n Pepa's Push It si nimeshindwa kwa kutumia simu?Hmmm.....
....trying to serenade you with Salt n Pepa's Push It si nimeshindwa kwa kutumia simu?Hmmm.....
Imeshakuwa Facebook sasawanatabu kweli
...siku moja akanitext "unajua kucare sana yaani unacheza nafasi fulani hivi ingawa siyo" kwa UTANI nikareply "unaonaje nikaicheza kweli hadi mwenyewe atakapokuja?" akajibu sawa!! tangu siku iyo na ndevu zangu nikaanza kuitwa baby!! imeenda kumbe mwenzangu kamaanisha mi kuona hivyo nikamuambia "nisamehe sijawah kufanya hivyo tubaki marafiki tu!" akagoma na kudai hatanisamehe NEVER! na hataki kuniona tena ananichukia!! nimemuomba msamaha kagoma kunisikiliza!! nafanyaje!?
Imeshakuwa Facebook sasa
kila mtoto akipata kasimu ka Inernet au Modem hasira zake anatuletea
hawa watafutiwe Jukwaa lao maana hapa tunaingia bahati mbaya na ukiwasahihisha hawakubali
Hana lolote anatikisa kiberiti, usimpigie, we subiri kameseji kake kama kale la mwanzo!mkuu dada yuko sirias hata sim hapokei
....trying to serenade you with Salt n Pepa's Push It si nimeshindwa kwa kutumia simu?
Wavulana banaaa
he ehee na aombe mungu akubaliwe huo msamaha....
Pia ni ushauri umeutoahata wewe unayejiona great thinker ulianza kama great sinker!!! ungekuwa mkubwa kiivyo usingereply hapa!!
Imeshakuwa Facebook sasa
kila mtoto akipata kasimu ka Inernet au Modem hasira zake anatuletea
hawa watafutiwe Jukwaa lao maana hapa tunaingia bahati mbaya na ukiwasahihisha hawakubali
Mimi kuna watu huwa nashindwa kuwaelewa. Unasumbuliwaje na mwanamke ambae ni rafiki tu? Mwanamke pekee ambae anaweza akanisumbua ni mpenz wangu tu na sio mwingine unless kama namtaka.
Sasa kigumu kiko wapi hapa? Unampenda mpenzi wako na hutaki kumsaliti, na huyo binti ndio kashakupenda unategemea kutakuwa na urafiki tena hapo? Either urafiki uishe ili ubaki na the original au uanze na the new and forget the original....