Wanajua ukweli wa mambo wanachofanya ni kumliwaza yule mwanahistoria wao!! Nyerere jina kubwa kwenye medani za siasa!
Ukweli siku zote huumiza sana moyo
Vipi wapi nitapata kahawa na kashata?
Chama leo F Fox ni m CCM mwenzako lakini unamruka ? Watu wale bwana akili zao sijui vipi .Shule hawaendi pamoja na mwalimu kuwasaidia wasome .JK mwenyewe kasoma kwa wakatoliki kakiri huko Bukoba lakini duh !!!
Huyo ni mualikwa! usitegemee kumualika yoyote kwako halafu aanze kumsema vibaya mtu wako.
Amesema kile kile mnachotaka kukisikia!
Si povu!mapovuuu hayo yashaaanza
Sideeq, kuna mambo ya kipuuzi huwa napotezea lakini kwa hili naomba nikusaidie kidogo. Huyu mama anatoka Sweden na aliwahi kuwa Waziri kwenye serikali ya nchi hiyo wakati huo ikiongozwa na Waziri Mkuu Olof Palme. Ni marafiki hawa wawili, Olof Palme na Mwalimu Nyerere, ambao mwaka 1986 walisaini ujumbe uliowasilisha kwa viongozi wakuu wa nchi mbili kubwa duniani, Marekani na Urusi, ukiwataka kusitisha mbio zao katika mashindano ya silaha za nuklia.Huyo ni mualikwa! usitegemee kumualika yoyote kwako halafu aanze kumsema vibaya mtu wako. Amesema kile kile mnachotaka kukisikia!
Si kweli!Sweden pia ni mojawapo katika nchi za Ulaya iliyompa heshima kubwa sana Baba wa Taifa kwa hekima yake na jina lake kuweza kufahamika nchini humo hadi katika shule za vidudu..
Hili halina ubishi. Kwenye kupigania ukombozi wa binadamu, he was fearless. Hata hivyo katika ubinadamu wake, along the way, kuna makosa mengi pia aliyafanya. He noted.Mwalimu had great vision, exceptional intellect, warmth and wit. He was a man of ideas, a creative thinker and was always engaged and fearless in the struggle for justice and freedom. President Nyerere was a champion for Africa taking control of its own destiny, free of dependence.
Juzi tu Malecela Snr alikuwa akielezea indirectly kuhusu uoga wa nyerere alipokuja kujua kuwa Malecela ameizungumzia vibaya Israel kwenye mkutano wa UN.Hili halina ubishi. Kwenye kupigania ukombozi wa binadami, he was fearless.
Hili halina ubishi!Alipata kutokea kiongozi mmoja Tanzania...Mwalimu J.K.Nyerere!
The Permanent Mission of Tanzania to the United Nations organized the commemoration of Mwalimu Nyerere Day on 14 October. The event coincided with the launch of a book titled "Julius Nyerere: Africa's Titan on a Global Stage: Perspectives from Arusha to Obama."
It has been co-edited by Profesor Ali Mazrui, an Albert Schweitzer
Kwa wale wanaotaka kukisoma hicho kitabu kinapatikana Amazon:
Table of Contents
Hapa sikubaliani na wewe.Juzi tu Malecela Snr alikuwa akielezea indirectly kuhusu uoga wa nyerere alipokuja kujua kuwa Malecela ameizungumzia vibaya Israel kwenye mkutano wa UN.
Rejea mahojiano ya Malecela aliyoyafanya juzi juzi huko Amerika.Hapa sikubaliani na wewe.
Siasa na mitazamo ya kiuchumi ya Mwl. Nyerere zilimuunganisha na Yasser Arafat. In fact, Tanzania ilikuwa na mahusiano imara na Wapelestina zaidi ya Waisrael.
Sasa sijui huu uoga tena unatoka wapi.
Ok. Nipe muda niyatafute na nitakuja tena jukwaani.Rejea mahojiano ya Malecela aliyoyafanya juzi juzi huko Amerika.
Hana habari kuwa Mwalimu aliwahi kuvunja uhusiano wetu na Israel na kumtimua balozi wake nchini. Sababu? Palestina.Hapa sikubaliani na wewe.
Siasa na mitazamo ya kiuchumi ya Mwl. Nyerere zilimuunganisha na Yasser Arafat. In fact, Tanzania ilikuwa na mahusiano imara na Wapelestina zaidi ya Waisrael.
Sasa sijui huu uoga tena unatoka wapi.