Kwa hiyo ikija CDM ndo itajaza dawa mahospitalini,watu wataacha kufa, tutakunywa maziwa badala ya maji, nyumba za nyasi hazitakuwepo sababu CDM watagawa bati na vigae kwa watu wote huo ni uwenzawazimu wa kuwaza hivyo. maisha yatabaki palepele sana sana utabaki kujuta tu.nchi hizi za kiafrika...