Tanzania yapaa kijeshi Duniani

Tanzania yapaa kijeshi Duniani

Kaka nashukuru kwa mchango wako. Ila nakuambia hapa unapoteza muda wako kuwambia hawa wajinga ni lipi jeshi lao na nchi yao imefanya ndani na nje ya mipaka kwa ajili ya waafrica na hata ulimwengu mnzima.

Njaa na kutokuwa na kazi ndio majawabu haya,upuuzi kila kona. Tukianza na suala la kazi, ni nani wa kuwalaumiwa? Viongozi walio madarakani au hawa vijana wanao wachagua?

Jwtz ni kitengo ambacho pia tusipo angalia wanasiasa watakiharibu pamoja Usalama wa Taifa kuna ukabila na udini kiasi mado maaadili hayajekwenda popote.

Nguvu yenu nyinyi wafia njaa hapa jamiiforum, mnaotukana nchi na vipngozi wenu, ni kura zenu.

Mnataka nchi bora? Chagueni viongozi bora na katiba bora muache kulalamika kama wanawake.


The king.

Mkuu mbona unapayuka km umekula magimbi?
We hujui kuwa huu ni Mwezi wa toba!
 
Kuna tofauti kati ya jeshi bora na kikosi bora. Kijeshi, kwa mfano Tanzania ina artillery bora na rada bora kuliko majirani zake ambao wana ndege bora. Sababu ni location ya miji mikuu kutoka mpakani. Ni vigumu kuufikia mji wa Dar kwa artrillery wakati ni rahisi kuitwaa Nairobi au Kampala kwa artillery. Hiyo ni choice ya kimkakati.

Tukirudi kwenye mada, vikosi maalum/elite/special forces ni commandos. Unaweza kuwa nao 5000 tu kwa ajili ya shughuli maalum za kijeshi. Hawa ni wanajeshi wanaoenda kwenye special missions. Tanzania ina special forces zilizotulia na hii inajulikana sasa.
TPDF special forces huwa zinaalikwa SOFEX na huwa zinashindana na elite forces za Europe, asia na America. Huwa kunawekwa mazingira ya kimjini, porini, majini, jangwani n.k na huwa wanaitwa ku-test silaha mpya. Hili msibishe.
halafu, hayo ni maoni ya critics wa mambo ya kijeshi ambao wana interest na masuala haya. Na huchukua data kutokana na mambo mengi ikiwamo missions ambazo special forces imeshinda na missions nyingine ni siri, lakini huwa zinafanywa.

Kwa hiyo msione ajabu nchiu maskini kuwa na vikosi special am bavyo ni highly trained na wamepata fursa ya ku-prove. Inawezekana sana tu na hii haitegemei utajiri wa nchi bali ushupavu wa watu wake.
 
sometimes tumia ubongo hata kidogo,kuna vitu naona kama sio vya uwezo wako ,unajua kuwa vilivyo bora leo jana yake viliaminishwa kuwa ni bora kabla ya wakat wake? hujaelewa
achana nao hiyo link nimewawekea km bado wanawaamini Al-Shabab au wasomali km kahtaan asemavyi wanuse ardhi yetu watajua kilichommnyoa M23
35 Most Badass Elite Fighting Units From Around The World
These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.
27. Tanzanian Special Forces In Congo
sf27.jpg


9k=
Z
images

10177268_719661238079565_6057173626386461239_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Nini kiko nyuma ya hizi sifa? Wanatuandaa kisaikolojia kuingia Somalia kupambana na ugaidi wa alshabab kama si Nigeria kwa book haram,au vote. Mkulu wetu kwa kupenda sifa,atakubali kuwapeleka vijana wetu. Vifo vilivyotokea Sudan,DRC vinatosha.
 
hii inatusaidi nini sisi? itapunguza deni la taifa au itakuza gdp ya nchi kwa 20%?
 
Nini kiko nyuma ya hizi sifa? Wanatuandaa kisaikolojia kuingia Somalia kupambana na ugaidi wa alshabab kama si Nigeria kwa book haram,au vote. Mkulu wetu kwa kupenda sifa,atakubali kuwapeleka vijana wetu. Vifo vilivyotokea Sudan,DRC vinatosha.

you can't be a souljah without fighting.
 
Nini kiko nyuma ya hizi sifa? Wanatuandaa kisaikolojia kuingia Somalia kupambana na ugaidi wa alshabab kama si Nigeria kwa book haram,au vote. Mkulu wetu kwa kupenda sifa,atakubali kuwapeleka vijana wetu. Vifo vilivyotokea Sudan,DRC vinatosha.

Una matatizo gani? JW wamepigana na nchi ngapi hadi waogope kwnd Somalia na Nigeria? Ngoja nikupe nchi... Msumbiji, Zimbambwe, Comoro, Ushelisheli, Uganda, Angola, Kongo, Liberia na sasa wanakwenda sudan kusini na wapo sudan, Ivory Coast na Lebanon. Acha wanaume wafanye kazi.
 
Nini kiko nyuma ya hizi sifa? Wanatuandaa kisaikolojia kuingia Somalia kupambana na ugaidi wa alshabab kama si Nigeria kwa book haram,au vote. Mkulu wetu kwa kupenda sifa,atakubali kuwapeleka vijana wetu. Vifo vilivyotokea Sudan,DRC vinatosha.

Mkuu woga uliona kuhusu kufa hauko kwa wanajeshi..they are trainned to die for their country and ts people..kufa kwa. mwanajeshi vitani ni ushujaa.
 
Mkuu woga uliona kuhusu kufa hauko kwa wanajeshi..they are trainned to die for their country and ts people..kufa kwa. mwanajeshi vitani ni ushujaa.

hivi dunia nzima hakuna nchi zenye majeshi ya kupelekwa huko?:japan hawana jeshi?
 
hivi dunia nzima hakuna nchi zenye majeshi ya kupelekwa huko?:japan hawana jeshi?

Kwani walipomteua jenerali carlos santa cruz kutoka america ya kusini kuja DRC africa hapakuwa na majenerali? Ni mgawanyo tu wa majukumu ktk dunia hii mkuu.
 
Nilicho kigundua humu jamvini ni kuwa kuna watu kazi yao kuponda kila kitu kizuri cha nchi hii,hii habari ni ya kweli na clouds wametoa kwenye mtandao check link kwenye google inayosema. ( 35 most badass Elite Fighting forces in the world ) utaiona Tanzania imo katika africa ndiyo inayoongoza. msiponde kila kilicho chema cha Tanzania jamani.
 
huwezi kubweteka na sifa kama hizi ni hatari sana
 
Jeshi la Tanzania lililopo Congo limetajwa kuwa ni moja ya majeshi hatari yaliopo duniani.Kulingana na mtandao wa http://news.distractify.com,jeshi hilo limetajwa kuwa ni moja ya majeshi yenye mafunzo yakinifu ya kivita,vifaa imara na vya kisasa na waliojipanga kwa shughuli za kivita.
Jeshi hilo la Tanzania lililopo Congo limeshika nafasi ya 27 kati ya nafasi 35.

Tembelea hapa kama huamini:33 Badass Special Forces Units From Around The World

When it comes to hardcore, elite human beings, nothing can top military special forces units. Imgur user Saernorsk shows us what these incredible teams from around the world look like, and exactly zero of them appear to be anyone you'd ever want to mess with if you value your life. The facepaint on the Peruvian men might be the most intense I've ever seen.

[h=1]27. Tanzanian Special Forces In Congo
[/h]
27-Tanzanian-Special-Forces-In-Congo-934x.jpg
 
Hiyo ni mbinu tosha ya kutufanya tubweteke mwisho wa siku watuteketeze wote.

Mjinga msifie siku zote.
 
Hii habari ililetwa jana,mwisho wasiku wa Tanzania wenyewe wakawa hawajikubali,
Poor Tanganykan ppo.
 
Kuna mambo lazima tuwe waangalifu sana...hayana kweli hata kidogo. Ni kweli tumewazidi Russian special forces? Ni kweli tumewazidi Chinese ambao wengi ndio walimu wetu? Kaaazi kweli kweli
 
Tazama ramani utaona nchi nzuri yenye mito na mabonde mengi ya nafaka, majira yetu haya yangekuaje sasa, nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom