I salute you Mbowe

I salute you Mbowe

Mkuu, mimi ni mwanaume LAKN 'POST YAKO IMENITOA MACHOZI'

MBOWE AMEACHA ALAMA YA USHUJAA WA AJABU NDANI YANGU. NITAMHESHIMU MAISHA YANGU YOTE.

MUNGU WA MBINGU AMLINDE SALAMA MAANA MAADUI WAKE HAWANA FURAHA KAMWE

Hakika Mbowe anastahil pongez jaman yan anapitia misuko suko mingi lakin hakat tamaa dah Mungu ambariki sana kwa kweli.
 
Mimi mtoto wa maskini nilisoma hadi pale nilipoweza kufikia chini ya Utawala wa CCM, bila kubaguliwa kwa jinsi yoyote. Wengi wa Watanzania wana madaraka makubwa CCM na Serikalini bila kujali itikadi za vyama, dini, kabila na tofauti zozote zile. Kama kuna makosa yaliyofanywa na yanaoyofanywa sasa ni ya kiutendaji na ya mtu mmoja mmoja na si ya kimfumo. Ila kwa taarifa zinazotolewa humu jamvini, mh, Chama kinachongozwa na aliyesifiwa na mtoa mada, kina harufu ya kila aina ya ubaguzi! Itakuwaje kikiingia madarakani kuongoza nchi hii!

TAFAKARI CHUKUA HATUA

Mfumo wa kutoa haki mahakamani unaipendelea Serikali maana rais ndo anateua majaji wote. Haiwezekani waalimu wakaishtaki Serikali kwa kudhulumiwa malipo ya stahili zao, wakatendewa haki.
rais ndo anateuwa mkurugenzi wa mashtaka, wakuu wa TAKUKURU kama apendavyo yeye,je huu sio mfumo mbaya?

Haiwezekani uchaguzi ukawa wa haki wakati mwenyekiti wa ccm ndo (Rais) anateuwa watendaji wa Tume ya uchaguzi, huu sio mfumo mbaya katika vyama vingi?

Fedha ya nchi inaibiwa Benki kuu bila vyombo vya dola kujua na kuzuia wizi huo. Je mfumo wetu wa ulinzi wa mali za umma uko vizuri? Fedha zinaweza kutolewa benki kwa mabilioni in CASH kweli hili linawezekana? Hii ni tanzania tu

Inawezekana vipi GAVANA wetu aende nje ya nchi apate matatizo ya kiafya afariki na kuzikwa huko huko nje ya nchi bila kushuhudia mazishi yake na yeyote kati ya viongozi, kweli mfumo wa kuenzi watumishi wa umma uko sawa? Tukisema tuna matatizo ya kimfumo nani anabisha?

Matatizo ni mengi chungu mzima, kuanzia ugawaji wa madawa katika mahospitali, ugawaji wa maji taka na safi, vifaa vya elimu kila kitu ni hovyo sana. MABADILIKO NI MUHIMU NDUGU YANGU, AMKA!!
 
I salute you Mbowe, nasema I salute you Mbowe again. You a really comander if not a comandor. wewe ni camander zaidi ya wenye taruma ya kuwa makamander. Mbowe nimekukubali, na daima nitakuwa nyuma yako. Sikutegemea mbowe ungeendelea kusonga mbele, mbele ya masahibu na hila za kuua upinzani. Slaa aliye kuwa alama ya ukombozi, mshauri wako mkuu, mtu uliyemheshimu na kuweka imani yako kwake, leo kayafanya haya. Nilidhani ungeyumba lakini ahsante Mungu wa Mbinguni hukuyumba. Mbowe wewe ni kweli ni kamander. Ufahamu tumaini la wanyonge limebaki kwako. Nipo nyuma yako kokote uendako. VIVA Mbowe! may God of heaven bless you with safe and long life!

Ukitoa madawa ya kulevya. Ushabiki na uvivu wa kufikiri ni janga la taifa kwa vijana. Sihitaji kujua wewe ndg umetumia akili kiasi kuandika haya, huenda nikawa nakuonea kwamaana sijui hata kichwani kwako kama kuna ubongo!
 
Mbowe siku zote nitamuona Shujaa na Jemedari wa Tanzania mpya ni mtu aliyetulia hana papara, hakurupuki, hana unafiki, mkweli, harudi nyuma na akisha fanya maamuzi yake carefully and wisely he will always respect and emphasizing them tirelessly.
Kwa kweli hama kwa hakika napata faraja sana ninapofikiria Mbowe ndio atakayekuwa Waziri Mkuu wetu ajaye hakika watanzania tutegemee Tanzania mpya nchi yetu itapiga hatua hakujapata kutokea.

Viongozi na watendaji mizigo na Mafisadi wajiandae Mbowe hana masihara kabisa huyu Muheshimiwa.

#VivaMBOWE mkombozi wa watanzania.
 
Makamanda wa kweli walio baki Tz na ambao nawaamini hawana bei toka kwa Magamba ni Mh. MBOWE na Maalim SEIF.... Mungu uwape hekima, busara na afya njema....ahsante sana mleta uzi....Mbowe atabaki kuwa icon Muhim kwenye mageuzi ya nchi yetu....
 
Ukitoa madawa ya kulevya. Ushabiki na uvivu wa kufikiri ni janga la taifa kwa vijana. Sihitaji kujua wewe ndg umetumia akili kiasi kuandika haya, huenda nikawa nakuonea kwamaana sijui hata kichwani kwako kama kuna ubongo!

Hili hasa ndo tatizo halisi la wanachama wa UVCCM
Asante kwa kuliona hili Kirikou Wa Kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Uongozi ni kipaji ambacho si kila mtu anacho.
 
Mfumo wa kutoa haki mahakamani unaipendelea Serikali maana rais ndo anateua majaji wote. Haiwezekani waalimu wakaishtaki Serikali kwa kudhulumiwa malipo ya stahili zao, wakatendewa haki.
rais ndo anateuwa mkurugenzi wa mashtaka, wakuu wa TAKUKURU kama apendavyo yeye,je huu sio mfumo mbaya?

Haiwezekani uchaguzi ukawa wa haki wakati mwenyekiti wa ccm ndo (Rais) anateuwa watendaji wa Tume ya uchaguzi, huu sio mfumo mbaya katika vyama vingi?

Fedha ya nchi inaibiwa Benki kuu bila vyombo vya dola kujua na kuzuia wizi huo. Je mfumo wetu wa ulinzi wa mali za umma uko vizuri? Fedha zinaweza kutolewa benki kwa mabilioni in CASH kweli hili linawezekana? Hii ni tanzania tu

Inawezekana vipi GAVANA wetu aende nje ya nchi apate matatizo ya kiafya afariki na kuzikwa huko huko nje ya nchi bila kushuhudia mazishi yake na yeyote kati ya viongozi, kweli mfumo wa kuenzi watumishi wa umma uko sawa? Tukisema tuna matatizo ya kimfumo nani anabisha?

Matatizo ni mengi chungu mzima, kuanzia ugawaji wa madawa katika mahospitali, ugawaji wa maji taka na safi, vifaa vya elimu kila kitu ni hovyo sana. MABADILIKO NI MUHIMU NDUGU YANGU, AMKA!!

Ningekuamini kama ungetoa ushahidi kwamba mfumo (sijui upi) wa CCM ndo umesabibisha watendaji watende hivyo na UKAWA yaja na mfumo gani wa kubadilisha utendaji, ili hali tumeona juzi wakiwakaribisha mamluki bila kufuata utaratibu waliojiwekea kikatiba na Memorandum of Understanding ya UKAWA. Matatizo na kero za wananchi (mimi na wewe) yamesababishwa na utendaji wetu mbovu. Hatuwajibiki. Siamini kama CCM au UKAWA inamtuma konda wa Daladala kutoa matusi. Sidhani UKAWA ndo inawatuma mashabiki na wanachama wake kuchangia humu jamvini kwa matusi.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Tena mbaya saaana, mfano mtu anashabika ccm kwa mika 50 huku akiishi kwenye nyumba ya nyasi, ndugu na familia wakifa kila kukicha kwa kukosa huduma bora za afya, gharama za maisha n.k...ushabikii mbayaaa saaana.

Kwa hiyo ikija CDM ndo itajaza dawa mahospitalini,watu wataacha kufa, tutakunywa maziwa badala ya maji, nyumba za nyasi hazitakuwepo sababu CDM watagawa bati na vigae kwa watu wote huo ni uwenzawazimu wa kuwaza hivyo. maisha yatabaki palepele sana sana utabaki kujuta tu.nchi hizi za kiafrika zitabaki kuwa vibaraka wa nchi za magharibi na ulaya na asia tu hata ufanye nini.nitajie nchi ya kiafrika ilikuwa na vyama vingi na uchumi wake kwa kufanya mabadiliko umeimarika.
 
Ningekuamini kama ungetoa ushahidi kwamba mfumo (sijui upi) wa CCM ndo umesabibisha watendaji watende hivyo na UKAWA yaja na mfumo gani wa kubadilisha utendaji, ili hali tumeona juzi wakiwakaribisha mamluki bila kufuata utaratibu waliojiwekea kikatiba na Memorandum of Understanding ya UKAWA. Matatizo na kero za wananchi (mimi na wewe) yamesababishwa na utendaji wetu mbovu. Hatuwajibiki. Siamini kama CCM au UKAWA inamtuma konda wa Daladala kutoa matusi. Sidhani UKAWA ndo inawatuma mashabiki na wanachama wake kuchangia humu jamvini kwa matusi.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

My friend ...... ! Labda tuelewane; tunaposema MFUMO whata does it mean? Mimi nafikiri ni Utaratibu wa Serikali kutekeleza majuku yake. (It a system, mechanism, structure)

Kama M/Kiti wa CCM (Rais) atasema anawafahamu: wezi wa Pembe za ndovu, walanguzi wa dawa za kulevya na wala rushwa, kwa nini hawachukulii hatua? anasubiria nini? - Hiki ndo tunasema mfumo mbaya

Pia Wezi wameiba Benki kuu (Kashfa ya EPA) then, Rais anawaomba warejeshe fedha walizoiba, ni mfumo gani wa haki unatekelezwa hapa? Hapo unajenga Taifa la namna gani?

Watu wameingiza nchi kwenye hasara kubwa kashfa ya Richmond lakn hao wanasemekana kutenda hivyo hawajachukuliwa hatua yoyote. sasa nani alaumiwe kama wananchi watakabidhi nchi kwa wezi waliolelewa na viongozi wetu????

Hata kama ukawa hawako smart au hawana mfumo mzuri hainifanyi mimi kufurahia hali iliyopo sasa. Wakija ukawa nao tutawakosoa maana hili taifa ni letu sote. Watoto na wajukuu wetu watakuja kutulaumu sana kwamba tumeharibu taifa lao. Tunadharauliwa na nchi jirani zetu. IN AIBU!

SINA CHUKI NA YEYOTE RAFIKI
 
Mungu azidi kumpa Mbowe hekima aendelee hivohivo nakumuombea Mungu amlinde
 
mtoto wa mjini na Trillionea Mbowe ameishangaza dunia ! haijawahi kutokea kwa mwanasiasa wa africa kutumia utajiri wake halali kugharamia ukombozi . badala ya kuutumia kupora zaidi mali za nchi kama wafanyavyo matajiri wengine .
 
Kumuita Mbowe kamanda unakosea.. Mbowe ni jemedari!, laiti kama angekua ni mwenyekiti wa nccr mwaka 95 upinzani ungechukua nchi!
 
I salute you Mbowe, nasema I salute you Mbowe again. You a really comander if not a comandor. wewe ni camander zaidi ya wenye taruma ya kuwa makamander. Mbowe nimekukubali, na daima nitakuwa nyuma yako. Sikutegemea mbowe ungeendelea kusonga mbele, mbele ya masahibu na hila za kuua upinzani. Slaa aliye kuwa alama ya ukombozi, mshauri wako mkuu, mtu uliyemheshimu na kuweka imani yako kwake, leo kayafanya haya. Nilidhani ungeyumba lakini ahsante Mungu wa Mbinguni hukuyumba. Mbowe wewe ni kweli ni kamander. Ufahamu tumaini la wanyonge limebaki kwako. Nipo nyuma yako kokote uendako. VIVA Mbowe! may God of heaven bless you with safe and long life!

subiria uchaguzi upite na raisi awe magufuli ndo utajua kama ni kamanda au sanamu
 
Ipo siku mtagundua kuwa Mbowe ameua upinzani nchini kwa kukaribisha magamba na kuyapa upendeleo wa kugombea nafasi mbalimbali kwenye chama kilichojijengea sifa kubwa kupiga vita ufisadi,ajenda ambayo hakuna anayethubutu kuitamka kwenye majukwaa ya ukawa
 
Back
Top Bottom