Recent content by Night Watch

  1. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sawa mimi napotosha, niwie radhi afuate ulichomshauri.
  2. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tatizo lipo, mimi ni wakili kwa professional yangu, atafute Wakili aliekaribu nae amuandalie deedpol na akaisajili ardhi.
  3. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakati wako utafika na mambo yatanyooka.
  4. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    🤣🤣🤣spelling error
  5. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nipo hapa kutoa ushuhuda, leo imekuwa siku ya furaha kwangu baada ya Mungu kunikumbuka na kupata kazi, nilifanya oral tarehe 4/06/2025, jana pia nilifanya written interview na nikafaulu kwenda oral wakati najiandaa na oral ya week ijayo napewa taarifa nimepata kazi.
  6. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naomba kuuliza, kwa watu waliofanya usaili jana kada ya Afisa Ardhi, Oral inafanyika wapi? Kwenye Portal wameandika Dodoma ila kwenye tangazo la mabadiliko ya venue wameandika utafanyika kwenye kanda, je chakufuata ni portal au tangazo?
  7. Night Watch

    Nilivyonasa kwenye lift jengo la Kitega uchumi kwa masaa 2 bila msaada. Ingekuwa Ulaya au Marekani ningefungua kesi ya kudai fidia

    Kumbe lile jengo la kitambo, juzi nilipita pale nilienda floor ya 13 ile lift yao ikifika unakoenda kuna mtikisiko fulani hivi.
  8. Night Watch

    Siku hizi Ligi za Ulaya hazina watazamaji wengi huku kwenye vibanda umiza

    FKF inaonyeshwa Azam Tv aseeeh wakenya kwa ligi za nyumbani tumewaacha mbali kwa sasa, tuna viwanja vibovu ila Kenya wamezidi kwa viwanja vibovu.
  9. Night Watch

    Huwezi kufungwa mara 4 mfululizo kwa bahati mbaya, siku mkiukubali ubora wa yanga na kuwaheshimu mtafanikiwa kupata matokeo!

    Kuna comment ya shabiki kaandika Simba inapiga hatua huku Yanga ikibaki bila kupiga hatua, aiseeeh nimeshangaa yani mtu kachukua point 3 bado unaona upo nae sawa tena umezidi kwamba wewe unaimarika zaidi[emoji1787][emoji1787]
  10. Night Watch

    Kwa nini iwe tu wachezaji wa Simba ndio wahongwe?Hamuoni kama ni kweli ni udhaifu wa viongozi?

    Wenzetu wakiwa hawana hatua[emoji849][emoji849] Yani umefungwa na umeshatoa droo moja unasema mwenzako hana hatua, hivi huoni gap linaanza kuwekwa hapo hizo point 3 utakuja kuzikumbuka usisahau pia point 2 zile za Coastal.
  11. Night Watch

    Hii kesi yangu ikoje au ndo kua mara yangu kwenda mahakamani

    Kesi haijaanza kusikilizwa hiyo, ikianza kusikilizwa watasikilizwa Jamhuri baadae na nyie mtapewa nafasi ya kusikilizwa utetezi wenu. Kwa hiyo usijali wakati ukifika utatoa maelezo yako.
Back
Top Bottom