Recent content by NICOLAX

  1. NICOLAX

    The Greatest JF intelligent man

    The greatest intelligent man ? Kiukweli sina pingamiz, THE BOLD yupo vizuri sana kwenye fasihi simulizi kama si andishi, hapa JF sijaona kabla. Ila kum-credit kama THE GREATEST INTELLIGENT MAN hapa JF siyo sawa kabisa. Labda kama una definition yako binafsi ya intelligence au bado mgeni umekuja...
  2. NICOLAX

    Nyoka wa ajabu

    habari mkuu Jimena. natumaini kule upande wa pili mko salama na mnaendelea vizuri kabisa. ubongo wa mwanadamu pamoja na utendaji kazi wake ni moja kati ya sehemu pana sana zinazofanyiwa utafiti wa kina kwa sasa. ubongo wa mwanadamu ni super computer ambayo haina weekend au naweza kusema ina...
  3. NICOLAX

    Why are so many scientists atheists/agnostics despite so many miracles in nature?

    mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh aisee kaka miracles ? toa mifano labda sijakupata sawia. mambo mengi yaliyo/yanayotukia yanaweza kuonekana ni ya kimaajabu, kutokana na kutokuielewa mechanism tendaji katika tukio/jambo husika. mambo mengi yanayosemwa kuwa ni miracles yanaweza kuelezewa vizuri bila kupapasa...
  4. NICOLAX

    Yesu yupo Galaxy nyingine, atachelewa!

    Ahsante mkuu Chechele kwa bandiko lako. kiukweli mm ni fun mkubwa wa NIKOLA TESLA, na pia nina amini kuwa jamaa alikuwa sahihi kwa mamb mengi hasa nikimhusisha katika energies, waves and vibrations. kiufupi jamaa alikuwa FUTURIST ni kweli kabisa kuwa kazi zake nyingi zilikuwa ignored. Mfano...
  5. NICOLAX

    HII ndo Mikoa tajiri Tanzania (Kwa mujibu wa BOT), Mbeya yaishinda Arusha...

    hahhahahha ahhahhahaha ahahaahhha ahahah ahsante kwa mfano wako mkuu
  6. NICOLAX

    Food for thought

    nimeonelea niufufue huu uzi bora kabisa uliozikwa yapata kupita miaka mitano nyuma MADE IN MBY CITY
  7. NICOLAX

    Yesu yupo Galaxy nyingine, atachelewa!

    Cc: Apollo Cc: Free ideas MADE IN MBY CITY
  8. NICOLAX

    Yesu yupo Galaxy nyingine, atachelewa!

    haahahaa ahhahahahaha ahahhahahah ahha mleta 3D umenifurahisha sana, naomba na mm nichangie kidogo. kipenyo cha milky-way galaxy kinakadiliwa kuwa ni almost 100,000 light years {miaka laki moja ya kusafiri kwa mwanga} hivyo basi, ikiwa yesu yupo upande mmoja wa galaxy yetu na akahitaji kuja...
  9. NICOLAX

    Binadamu tuna mapungufu/madhaifu yetu, lakini huyu jamaa sikuona mapungufu yake

    Mleta uzi ulishawahi msikia mtu anaitwa DIOGENES ambaye alimkalisha ALEXANDER THE GREAT na kumfanya ajione si chochote si lolote mbele ya huyu DIOGENES. au huyu mwingine aliitwa ENOCH kutokana na THE BOOK of ENOCH ambacho kilikuwa removed from the HOLLY BIBLE, inasemekana mtu huyu alikuwa...
  10. NICOLAX

    World most famous people with their QUOTES from their great SPEECHES

    hii ipo mwishoni mwa muvi ya MADMAX THE FURY ROAD {FURIOSA} "WHERE MUST WE GO, WE WHO WONDER THIS WASTELAND, IN SEARCH FOR OUR BETTER SELVES ?" by THE FIRST HISTORY-MAN MADE IN MBY CITY
  11. NICOLAX

    Wafahamu watu wanaoitwa Sociopath

    you said it all mkuu nashukur kwa kunielimishia kijana, maana naona bwana mdogo anaanza kuifananisha JF na FB kwa kutuletea habar zilizo na utapiamlo MADE IN MBY CITY
  12. NICOLAX

    Wafahamu watu wanaoitwa Sociopath

    try to be serious kidogo mkuu, yaan research ya miaka mi-4 ndio uandike utoto kama huu kweli ?. mtu yeyote makini mwenye access na internet anaweza aka-spend few hours huko internet na kuleta bonge la uzi kuhusiana na kile ambacho ww umekitafiti kwa miaka mi-4. sijui ni research ya aina gani...
  13. NICOLAX

    Naomba kujua kuhusu déjà vu

    Hii ni hali inayo mtokea mtu pale ubongo unapofeli kutafsiri muda halisi wa tukio. i.e; present event is interpreted as past event Cc: Jimena
  14. NICOLAX

    Where did God come from (Mungu ametoka wapi)

    NICOLAX, post: 16343000, member: 244601"]hivi sambamba ndiyo perpendicular kweli ?? .made in mby city.
  15. NICOLAX

    Ukweli utakuweka huru

    mkuu BIGURUBE, huyu jamaa ni mmoja kati ya wale watu wanaoifanya JF iendelee kuwa sehem inayoheshimika. lakini naona sikuizi amekuwa mtoro sana hapa jukwaani ukimuona popote naomba uni-tag mkuu .made in mby city.
Back
Top Bottom