Mimi hyo mkuu"A love of a woman and a bottle of wine are sweet for a moment but last for a time"
Sikumbuki wa nan
Salaam,Wana-GREAT THINKERS...
--Ni muda tena tukutane katika ukurasa huu tuweze kukumbushana kuhusu MISEMO YA WATU MAARUFU iliyosemwa kwa malengo ya :-Kuelimisha,kufariji,kuleta hamasa na mengineyo...
SOME OF QUOTES FROM THE MOST FAMOUS PEAPLE (PERSON) IN THE HISTORY...
1: Franklin Delano Roosevelt
- The only thing to fear is fear itself
- Men are not prisoners of fate,but prisoners of their own minds..
- When you reach the end of your rope,tie aknot in it and hang on..
- The only limit to our realization of tomorrow will be our daughts of today.
- In politics nothing happens by accident,if it happens you can bet it was planned.
2:Nelson Rolihlahla Mandela
-It always seems impossible until its done.
- Do not judge me by my success,Judge me by how many times ifell down
- If you talk to aman in a language he understand that goes to his head,if you talk to him in his language that goes to his heart.
- Courageous people do not fear forgiving for the sake..
3: Abraham Lincoln
- The best way to predict the future is to create it.
- Leave nothing for tomorrow which can be done today.
- The ballot is stronger than bullet.
- You can fool some of the people some of time but you can't fool all people all of the time.
4: Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
-You cannot develop people, you must allow people to develop themselves.
- Education is not away to escape poverty,it is the way of fighting it.
- Without unit there is no future for Africa.
- Independence cannot be real if anation depends apon gifts.
Proceedings allowed... Endelea...
--------NOTE-----
- Lugha yeyote inaruhusiwa (Siyo matusi)
-Any language is allowed (Not insulting)
-----KARIBUNI WOTE (WELCOME)---
Prepared by Kijukuu cha hitler Adolph hitler jr
Hii imekaa kibabe sana''Instead of wiping away your tears, wipe away the people who created them-Hitler.
Bila shaka aliisema hiyo wakati wa chuki zake dhidi ya wayahudi maana aliamini ndio walisababisha matatizo ya Ujerumani hasa kushindwa kwenye WWI.Hii imekaa kibabe sana
Inawezekana!Bila shaka aliisema hiyo wakati wa chuki zake dhidi ya wayahudi maana aliamini ndio walisababisha matatizo ya Ujerumani hasa kushindwa kwenye WWI.
Tatizo dhamana hupati hapo.!Hasa hiyo ya mwisho.....inafaa kwa wakati huu wa kusomeshwa namba.
Tatizo ni uoga.Tatizo dhamana hupati hapo.!
Mkuu ",you doesnt"? Umenimaliza japo ht changu ni cha kuungaunga. Please eehhEndelea kwa kutumia lugha yeyote (any language)....
Uoga hautolitatua tatizo lililoko mbele yako bali utakupunguzia nguvu ya kupambana nalo. .by Charles spurgeon
-You doesnt know what will happen when you try but if you doesnot nothing will happen
Inakupasa kuona vifo vingi ili ujue thamani ya uhaiInakupasa kuona ushindi hata kabla hujaingia uwanjani
Nimeipenda hiyo ya putin''To forgive terrorists it's up to God, but to send them to him it's up to me'' -Vladimir Putin.
''If you want to shine like sun, first you have to burn like it'' -Adolf Hitler.
''Instead of wiping away your tears, wipe away the people who created them-Hitler.