Itakuwa ni project Kubwa kama utahitaji mwingne nipo hapa japo sina utalam was vyeti, ila uzoefu kwa kuwa nmewah fuga pia ila kulingana na kukosa mtaji nilfeli
Nipo na kiasi flan cha ela nilikuwa nawaza nipige Mishe gani kwa hii hela Nillonayo, lkin kupitia huu Uzi nimepta wazo la nn nifanye na hhi hela nilyonayo,shukuran sana nambayako nimechukua ntakucheki
Sasa mkuu hapa Nina mtaji butu nazan sntoweza kuhimili gharama za kilimo cha nyanya hususan katika kipindi cha masika pana gharam sana, sasa kam unaweza ukaniunganisha na mdau ambaye yupo na mtaji tuunganishe nguvu, Mimi nitumie na nguvu kazi yangu na hiki kiasi cha mtaji nilichonacho tupige kazi
Habari wanajukwaa mm ni kijan miaka yangu ni 27 natafuta kaz yeyote ya mashambani ili niweze kujikim kimaisha.
1. Kusimamia shamba,mazao ya nafaka matunda
2. Kusimamia miradi ya ufugaji, km vle kuku ngombe wa maziwa nguruwe,
3. Kusafisha shamba por(kufyeka na kungo'oa viski) kweny Kilimo nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.