Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Nyanya ni zao ambalo hushambuliwa sana na magonjwa ya ukungu msimu wa mvua nyingi na msimu wa baridi kali. Hali hiyo husababisha bei ya nyanya kupanda sana kipindi hicho na wale wanaobahatika kuwa na nyanya vipindi hivyo huuza kwa bei nzuri.
Naomba kujua ni aina gani ya nyanya inayofanya vizuri msimu wa masika, najua changamoto za kilimo cha nyanya ila nataka nicheze na misimu ili kutega soko.
Naomba kuwasilisha wandugu.
Naomba kujua ni aina gani ya nyanya inayofanya vizuri msimu wa masika, najua changamoto za kilimo cha nyanya ila nataka nicheze na misimu ili kutega soko.
Naomba kuwasilisha wandugu.