Recent content by Nick

  1. N

    Inasikitisha sana maji machafu MUWASA

    Inasikitisha sana wiki ya tano sasa maji ya Moshi UWASA sio salama kwa afya wala kutumika kwa matumizi ya nyumbani. Nimejaribu kufuatilia bila jibu. Maji yanatoka kwenye bomba yakiwa na tope. Mwenye kujua ni nini chanzo atujulishe maana wengi wetu tumeadhirika
  2. N

    AU: Kilichofanywa na jeshi la Zimbabwe ni kama mapinduzi ya kijeshi

    Wahalifu ni polisi waliokamatwa na kuwekwa foleni
  3. N

    Ni nani mmiliki wa hospitali ya KCMC?

    Kwanini usiulize Bugando ni mali ya nani. Zinafanana kwa kila hali ila mmiliki tuu
  4. N

    Baba mzazi wa Doreen-Lucky Vincent: Kwa picha ninazopata,bora mwanangu angeendelea kutibiwa Marekani

    Ni muhimu mzazi asianze kumkatisha tamaa mtoto wake wakati kuna maendeleo makubwa sana kulinganisha na alivyotoka hapa TZ. Mtoto huwa anaamini sana mawazo ya mzazi na kuamini kwamba kumbe hali yake haitakaa vema akiwa TZ. Baba ridhika na hali ya mtoto.
  5. N

    Serikali yawanyang'anya mashine za maji wakulima na kusababisha kukauka kwa ekari 200 za vitunguu

    Nadhani kudhlumu uhai wa mmea ni laana sana. Swala ni muda tuu
  6. N

    Serikali inahimiza kujiajiri, lakini tukijiajiri Said Meck Sadiki anatuhujumu!

    Daah. Kweli hili swala limekuwa gumzo KAhe. Jana polisi na mkuu wa mkoa walilipua mabomu ya machozi kutawanya wakulima waliochukuliwa pumps zao chemchem ya Miwaleni. Ilikuwa tafrani kali kati ya polisi na raia
  7. N

    Rais Magufuli aagiza Viongozi wa Serikali kurudisha posho za safari ya kuhudhuria kilele cha Mwenge

    Nilidhania mwnge wa uhuru hauzimwi ila unapelekwa kilele cha mlima Kilimanjaro ili ulete amani na matumaini kama baba wa taifa alivyoadhimia.
  8. N

    Wakulima Kilimanjaro/Arusha...

    marwarwa, rosita, Fuatilia jarida la Mkulima Mbunifu linalotoka kila mwezi utapata faarifa nyingi tuu za kilimo. Vile vile kuna maonyesho ya kilimo Kikatiti tarehe 27 hadi 29 Oktoba
  9. N

    Ni nini kimetokea dayosisi ya Kaskazini?

    We katowe zaka zako msikitini. Ya kanisani tuachie ss
  10. N

    Yaliyojiri Kutoka Ufipa: Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari, maandamano ya UKUTA yaahirishwa

    Naona unashabikia sana ndugu zetu kufanywa vilema na polisi wetu kwa makusudi. Anayeumizwa anaweza akawa mama,baba, mtoto au ndugu yetu. La maana hapa ni kuomba amani itawale kwani hakuna aliyeumbwa kutawala. Natabiri serikali ya mseto kuja TZ mapema na aliye na busara kama EL kuwa PM na TL kuwa...
  11. N

    Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

    Thanks kanga and congr. to her
  12. N

    Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

    Nadhani anaye bore zaidi ni ABD Mwapaya haswa kwenye kipindi cha Kiswahili siku za jumamosi. Yanini kuita wataalam wa lugha toka BAKITA? Aliyewezea ni Regina tuu na sijui siku hizi huu wapi
  13. N

    Tabiri nani atateuliwa Ukatibu Mkuu wa CCM kama Magufuli atapitishwa?

    Ni Mzee madevu wa iringa ambaye sasa ni makamu mwenyekiti chi chi em. kumbuka huyu alishawahi kuwa katibu makini akanyanganywa na Yusus baadaye wakampa nafasi ya makamu
  14. N

    Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

    KAFA.cOm, Naomba picha ya bendera ya wachagga tafadhali. Andiko limenisomesha kilivyo. Hongera sana
Back
Top Bottom