Ni nini kimetokea dayosisi ya Kaskazini?

Ni nini kimetokea dayosisi ya Kaskazini?

Waumini tunalipa, kwetu tumepangiwa laki mbili kila muumini. .
Tatizo siku hizi michango inasuasua kutokana na Ukata wa wananchi. ....Muda uliobaki ni kidogo sana. .........Mungu tuhurumie
So kilicho tokea hasa ni nini na ni vipi hilo deni lina link na hiyo hotel ya corridor spring., wananzengo wadai eti kilichomuua askofu Laizer (R.I.P) ni pamoja na presha aliyoipata baada ya kupewa taarifa dayosisi yake inadaiwa billioni 13 unusu.
 
Me huwa nawashangaa watu wanaowashambulia hawa manabii na mitume matapeli na kuwashauri waumini wao wakasali Catholic Lutheran na Anglican ndio hakuna kutapeliwa sasa hakuna maeneo mafisadi kama hayo ninauzoefu na kwenye taasisi hizi Catholic na Lutheran kuna ufisadi ambao ukiambiwa utashika kichwa.

Tena hawa ndio wanawapiga pesa za kitaifa na kimataifa maana yake wanatafuna kuanzia sadaka ya mlalahoi wa naliendele mpaka bepari wa Italy na German kulikua na wakati wamarekani walikua wanatuma makontena ya mafuta ya kupikia na marobota ya mitumba kwenye taasisi fulani ya dini kabla hayajashushwa bandarini tayari wateja wa misaada ya wanyonge walishatoa pesa.

Au watauza kwa waumini kwa bei ndogo kidogo wakati wamepewa bure na bandarini imepita free of charge lakini wataiuza tu watu wapige pesa za bure.

Hakuna dhehebu litakaloepuka dhambi ya kuwatapeli na kuwaibia waumini wake na kumuibia Mungu sio kwamba napinga sadaka na zaka sababu zipo kwa mujibu wa Bible bali nawashauri viongozi wa dini kutubu na kuacha ufisadi maramoja.
 
Mimi nimeleta kile nilicho kisikia kama wewe unaangalia namna ya uandishi hilo halinihusu cha msingi mimi nilitaka kujua zaidi kwa hicho nilichokisikia,,,, na sorry ni kaskazini kati, mimi sio mtaalamu wa ugawaji wa dayosisi.

Hujanielewa.

Hakuna tatizo lolote ktk uandishi wako

Ishu iko kwenye logic & content

Mfano, umetaja kitu kinachoitwa "dayosisi" bila kueleza ni kitu gani kwa maana ya mtu au......

Na kukusaidia tu ni kuwa mimi ni muumini wa dini ya kikristo ktk madhehebu ya kilutheri

Katika dhehebu letu "dayosisi" ni eneo la kiutawala la kanisa linalojumuisha majimbo na sharika na mitaa.

Hapa maana yake ni kuwa ktk structural organization ya kanisa la K.K.K.T unaanza na MTAA na mitaa kadhaa inaunda USHARIKA na sharika kadhaa zinaunda JIMBO na majimbo kadhaa yanaunda DAYOSISI.

Hata hivyo, yapo pia madhehebu mengine ambayo hutumia neno hili "Dayosisi" kumaanisha eneo flani la kiutawala kikanisa. Mfano Anglican, AIC nk

Sasa maswali kwako ni haya;

Katika andiko lako ulimaanisha dayosisi kwa maana eneo la huduma za kikanisa? Kanisa gani hilo kwa sababu ninavyoelewa mimi Arusha na Manyara yako makanisa mengi tu!!

Hii ndiyo ilikuwa point yangu

USHAURI: Siku nyingine ukisikia jambo ambalo hulielewi, achana nalo kwa sababu utalibeba na kukumbana na maswali kama haya na wewe kuishia kujibu, "mimi nilisikia tu!!".

Ni bora sana kuhangaika na unachokielewa!!
 
Hujanielewa.

Hakuna tatizo lolote ktk uandishi wako

Ishu iko kwenye logic & content

Mfano, umetaja kitu kinachoitwa "dayosisi" bila kueleza ni kitu gani kwa maana ya mtu au......

Na kukusaidia tu ni kuwa mimi ni muumini wa dini ya kikristo ktk madhehebu ya kilutheri

Katika dhehebu letu "dayosisi" ni eneo la kiutawala la kanisa linalojumuisha majimbo na sharika na mitaa.

Hapa maana yake ni kuwa ktk structural organization ya kanisa la K.K.K.T unaanza na MTAA na mitaa kadhaa inaunda USHARIKA na sharika kadhaa zinaunda JIMBO na majimbo kadhaa yanaunda DAYOSISI.

Hata hivyo, yapo pia madhehebu mengine ambayo hutumia neno hili "Dayosisi" kumaanisha eneo flani la kiutawala kikanisa. Mfano Anglican, AIC nk

Sasa maswali kwako ni haya;

Katika andiko lako ulimaanisha dayosisi kwa maana eneo la huduma za kikanisa? Kanisa gani hilo kwa sababu ninavyoelewa mimi Arusha na Manyara yako makanisa mengi tu!!

Hii ndiyo ilikuwa point yangu

USHAURI: Siku nyingine ukisikia jambo ambalo hulielewi, achana nalo kwa sababu utalibeba na kukumbana na maswali kama haya na wewe kuishia kujibu, "mimi nilisikia tu!!".

Ni bora sana kuhangaika na unachokielewa!!
Niliandika dayosisi sababu nilichosikia ni kuwa dayosisi nzima ikimaanisha majimbo yake ya manyara na arusha waumini wao wanachangia kulipa deni, ww labda ndio umekuwa slow-mo. Hata hivyo hayo hayahusiani na key point ya uzi niliouleta.Mimi nilichotaka hasa kujua ni nini kilitokea mpaka kupelekea wakawa na deni kubwa hivyo.
 
Niliandika dayosisi sababu nilichosikia ni kuwa dayosisi nzima ikimaanisha majimbo yake ya manyara na arusha waumini wao wanachangia kulipa deni, ww labda ndio umekuwa slow-mo. Hata hivyo hayo hayahusiani na key point ya uzi niliouleta.Mimi nilichotaka hasa kujua ni nini kilitokea mpaka kupelekea wakawa na deni kubwa hivyo.

Mimi siko slow

Wewe ndo unafanya ushindwe kueleweka kwa wasomaji wako haraka

Ungesema straight foward kuwa una maana ya K.K.K.T, Dayosisi ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha na Manyara ungeeleweka mapema na vizuri zaidi.

Tatizo lako ilikuwa ni kuandika tu Dayosisi ya......inayojumuisha mikoa ya......bila kusema ktk madhehebu gani utadhani uko kwenye jukwaa la watu wenye itikadi moja ya dini wakati kuna members hawajui hata maana ya dayosisi humu!!

Thank you. Tuendelee na mjadala, hili limekwisha, au siyo mkuu?
 
Nusu ya deni imeshalipwa kama % 65 kama sikosei kwa taarifa za jana

Mara ya mwisho tuliambiwa 7b zimeshalipwa. .

Balance inatakiwa iwe imelipwa kabla ya January 2017. ..
 
Sina uhakika kama huu uzi uliwai kuwepo au laaah.Kama mtanzania mpenda kujua nini kinaendelea katika nchi yangu ikiwemo kisiasa, kiutamaduni, kiuchumi na kijamii pia, leo nikiwa Arusha nikakuta story inayohusu dayosisi ya kaskazini ikijumisha majimbo ya Arusha na Manyara kama sijakosea kuwa wanadaiwa na benki ya CRDB KIASI CHA BILIONI 13 NA NUSU

Katika hizo story nikasikia kuwa wasipo timiza hilo deni , mali za dayosisi zitapigwa mnada ikiwemo hospitali ya Selian, na hilo deni nasikia limetokana na watu kufanya ufisadi katika moja ya vitega uchumi vya dayosisi hiyo ya hoteli inaitwa Corridor spring,.

So kutokana nilikuwa na haraka sikuweza kujua kisa kizima, nimeleta hapa kwq wanaojua sakata hili, imekuweje mpaka dayosisi inadaiwa kiasi kikubwa hivyo ni nini kilitokea hasa...nawasilisha
At that time nliwahi kusikia sikia wanadaiwa na hyo hotel yao ilibaki kidogo tu ipigwe bei,sa sijui vikaishia wapi japo habari hzo nilizisikia tu kwa watu hapo town Arusha
 
Dayosisi ya Kaskazini kwa Kanisa lipi
 
Me huwa nawashangaa watu wanaowashambulia hawa manabii na mitume matapeli na kuwashauri waumini wao wakasali Catholic Lutheran na Anglican ndio hakuna kutapeliwa sasa hakuna maeneo mafisadi kama hayo ninauzoefu na kwenye taasisi hizi Catholic na Lutheran kuna ufisadi ambao ukiambiwa utashika kichwa.

Tena hawa ndio wanawapiga pesa za kitaifa na kimataifa maana yake wanatafuna kuanzia sadaka ya mlalahoi wa naliendele mpaka bepari wa Italy na German kulikua na wakati wamarekani walikua wanatuma makontena ya mafuta ya kupikia na marobota ya mitumba kwenye taasisi fulani ya dini kabla hayajashushwa bandarini tayari wateja wa misaada ya wanyonge walishatoa pesa.

Au watauza kwa waumini kwa bei ndogo kidogo wakati wamepewa bure na bandarini imepita free of charge lakini wataiuza tu watu wapige pesa za bure.

Hakuna dhehebu litakaloepuka dhambi ya kuwatapeli na kuwaibia waumini wake na kumuibia Mungu sio kwamba napinga sadaka na zaka sababu zipo kwa mujibu wa Bible bali nawashauri viongozi wa dini kutubu na kuacha ufisadi maramoja.

We katowe zaka zako msikitini. Ya kanisani tuachie ss
 
Mkuu hilo deni lipo kweli kwa ufisadi...lakini waumini tunalilipa tangia mwaka jana ,lakini tangia utawala huu hali ya sadaka imekuwa ngumu plus interest imefanya kuto kufikia kiwngo tuchokuliana na bank kulipa ......lakin deni linalipwa
 
Cc: Good Man
Pitia hapa, unaweza kupata mawili matatu juu ya Ufisadi uliotukuka katika Usharika wa Kaskazini (KKKT).
 
Hivi wakina Kalugendo na timu yake bado hapo makao makuu?:Wajerumani walimwaga sana pesa pale
 
Back
Top Bottom