Habari zenu wadau!
Natafuta Nyumba Yenye Masterbedroom, Sitting room, kitchen iwe ndani ya Fensi maeneo ya Kuanzia Tegeta kwa ndevu hadi Mbezi African lakini iwe karibu na Barabara ya New Bagamoyo.
Mwenye nayo anicheki PM hatakosa hata ya Maji.
Uzi tayari.
Habari za jioni wadau!
Mimi ni mkazi wa Sinza jana nikaenda kumtembelea Rafiki Yangu Maeneo ya Tegeta.
Mida fulani hivi kama kawaida yetu Friday kwenda kusafisha Koo na Gold water akanipeleka KIBO pale Tegeta Kibaoni tumekaa mpaka mishale ya Saa 9 tukasema tuondoke ile kutoka Nje opposite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.