Recent content by ng'wibo chuma

  1. N

    Mshahara wa Tsh. 700'000/=, Dar es Salaam

    watu kama hawa huwa hawakosekani...kila mtu na planns zake kaona inawezekana na kawashirikisha so huoni yawezekana waachie watakaojaribu..
  2. N

    Msaada wana JF kuhusu Pride

    ndio nimeitwa last week mkuu..asanteni wadau woote wenye hekima na uelewa..Nawapenda
  3. N

    Msaada wana JF kuhusu Pride

    Naomba msaada kwa anayeijua pride tz, Je, ni kampuni ya uhakika kuifanyia kazi? na inawajali wafanyakazi wake?.. Pliiz msaada wenu kwa anayeijua vzr
  4. N

    Asili ya neno 'desa'

    Ha ha haaaa nimekumbuka bibo life it was funny
  5. N

    AJIRA 200 zilizotolewa Uhamiaji zasitishwa ili kupisha uchunguzi

    mm nimemuelewa,hata mm lilinitatiza ni kitendo cha kueleweshana sio kutoa maneno kama hayo wakuu..coz nafasi zaaskari wa uhamiaji ndo zimetangazwa kusitishwa ila vp kuhusu wasaidizi?
  6. N

    Nitajiajiri vipi au kupata kazi, nina degree ya archaeology

    ni kuomba Mungu ndugu yangu,iyo coz post zake kaz sana kuzipata..its better ufanye kaz yoyote ya mtu mwenye degree coz hii ndo tz. my sis kasoma iyo coz pia udsm anaenda mwaka wa tano home...sikukatishi tamaa ila ndo hali halisi tz..another way ni kujiajir tu
  7. N

    Serikali iingilie kati

    Naunga mkono hoja.,.makampuni wananyonya sana hata watu wenye vigezo wanalipwa chini ya kiwango kisa tu wanajua walio wengi wanazisaka pesa.,its is not fair for degree holder kulipwa 200000,..ktk maisha halisi ya sasa huo ni unyonyaji mkubwa na serikali inabidi iingilie kati ilo suala kwakweli..
  8. N

    Ushauri ya Interview Utumishi

    Apande fastjet ajitahidi
  9. N

    Ajira ya shilingi elfu tisini(90000)

    ata mie nimeshangaaa atiiii mara tatu!!!!!
  10. N

    Zimamoto Updates

    ila tutapiga kelele mpaka lini basi...its better tukae pembeni tukiangalia mchezo
  11. N

    Zimamoto Updates

    na isitoshe someni majina vyema ya waajiriwa mchukue na walioitwa interview..mtagundua kuna walioitwa kazini bila interview..tz at 50 ..sambaza upendo
  12. N

    +255901006666 cjaielewa baado.!

    yaani wengine watafuta kazi wakiona namba mpya ndo wanawahi kupokea labda usaili..wewe unazikwepa ndugu yangu!!!!
  13. N

    Msaada:kwa anaeifahamu vizuri brac

    Graduate laki 3. na makato mengine inakuwa kama 280000,..allowance nyingine ni 50 kwa ajili ya mizunguko coz credit officer hapana kukaa ofisini ww ni field work.. I can say its hard
  14. N

    Nafasi za kazi NMB kwa kanda zote

    tatizo hao watu kuhonga hongo tofauti tofauti na kujuana kwa wingi..na huu ndo ukweli mtupu
Back
Top Bottom