Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Inatosha na chenji inabaki.
~jitahidi ukae sehemu ambayo unapanda gari moja kwenda job
»800x22=17,600=/
~Mambo ya mlo
»Chai 500,mchana 2000 usiku 2000
»4500x30=135000/=
~Panga Chumba kimoja master
Kwa town assume 80,000/=
~Gharama za umeme
»30,000/=
~Gharama za maji
»Dumu la uhai 12ltr sh 4000 assume kwa siku unakunywa lita 2 that means kwa mwezi utahitaji dumu 5 total 20,000/=
»Maji ya kuoga/kufulia
Assume kwa siku unatumia dumu 3 @500 kwa mwezi 45,000
Mpaka sasa matumizi ni 327,600/= Roughly 400,000 kwa mwezi naungana jamaa aliyesema kwa fedha hiyo atakuwa anasave 300,000 kwa mwezi yes inawezekana! Hiyo ni kwa single hata kama una family ya atlst mtoto m1 mdogo hiyo fedha inatosha kabisa maana itabidi usiwe unakula magengeni inabidi wife apike,chumba kimoja hakifai inabidi uchukue chumba na sebule au vyumba viwili na sebule 150,000 hadi 200,000
Mchakato.
»Mkaa 1000
»Mafuta 200
»Unga 1000/mchele 1500
»Nazi 1000-1500
»Nyanya 1000
»Hoho/carrot 300/300
»Kitunguu 200
»Pampers 500 moja kwa siku 3(1500)
Total 8000x30=240,000
Kodi ya nyumba 150,000
Maji ya kunywa 40000
Maji ya matumizi 90000
Umeme 30000
Nauli 20000
Jumla kuu 570,000/= inabaki 130,000 (hiyo 130k utalipia 10k au 12.5k Pay Tv)
hapo kwenye bold tu mkuu ndo umeniacha hoi,cjui mtoto gani huyo wa kuvaa pampers moja kwa siku