Recent content by ng'wadila

  1. N

    Mwanza: Shinyanga Guest House yaungua moto, Mmliki wake aungua hadi kifo

    Ukiulizia kijijin kwao wanasema ni kweli! Ila sasa hv hamna imebak historia tu.
  2. N

    Mwanza: Shinyanga Guest House yaungua moto, Mmliki wake aungua hadi kifo

    Watoto wao sasa hiv wengi wapo kijijn wanakunywa gongo tu! Hadi wanatia huruma! Wangesoma wasingekuwa walivyo!
  3. N

    Mwanza: Shinyanga Guest House yaungua moto, Mmliki wake aungua hadi kifo

    Hujawah kuskia kama walkuwa na joka kijijin kwao kipindi cha zaman!! Wale nao ukiulza historia yao ni shda tupu! Matajir wengi zaman walikuwa wanaenda kwa waganga wanapewa ndagu! Sio kama sasa hvi watu wanafanya biashara kisomi zaidi!
  4. N

    Mwanza: Shinyanga Guest House yaungua moto, Mmliki wake aungua hadi kifo

    Utajiri haramu ni mwisho wake mbaya! REHEMA YA MUNGU Umenkumbusha mbali mkuu!
  5. N

    Lowassa kuhamia CHADEMA na kugombea Urais: Ni Ulaghai, Unafiki na Uzandiki Uliotukuka

    Tena hao CDM walijiandaa wakisema tunasubir wampitishe huyu fisadi (El) , sasa hiv wanajifanya mazezeta hawajui walichokisema. Na walitangaza ushahid wanao leo wanasema mwenye ushahid ajitokeza kwa El!UPUUZ MTUPU! Huku si kuchezea akil za watanzania! Wasiojitambua ndo wanaowasupport.
  6. N

    CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

    Siasa bhana! Mtu analala na kijani anaamuka na gwanda! Tetetetete!! Mwaka huu tutaona mengi! Kama alkuwa na mapenz mema na ukawa angehama kabla ya kukatwa! Sasa hv ni unafiki tu! Mgeni njoo mwenyej apone!! Kuna ktu nyuma ya pazia!
  7. N

    CCM: Tunahitaji wadhamini 450 tu

    Itaeleweka tu mbivu na mbovu.
  8. N

    Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    Duh! Wanaofanya mtihani form six wameathirika sana! Wameanza na mgomo wa madereva! Mafuriko! Sijui matokeo yatakuwaje!
  9. N

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Kuhusu chuo kama utafaulu unaenda moja kwa moja na utakuwa sawa na wengine. Usikatshwe tamaa,ni kuwa serious tu.
  10. N

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Kwanza hongera sana! QT si mchezo. Mm nakushaur usome HKL au HGK kama geography unaiweza. Pia kama nafas inaruhusu soma miaka miwil. Utafanya vzur sana. Mm nna mfano hai!
  11. N

    Sijui nianzie wapi?

    Mimi naona upate muda wa kutafakari na kumshirikisha Mungu akusaidie kwa hili. Watoto wapeleke bording ya karibu kiasi kwamba uwe unaenda kuwaona kirahis. Mdogo kama mama yupo mwambie akusaidie kumlea wakat hujachukua uamuz kip ufanye. Unahitaji mda wa kutulza akili kabla ya uamuz wowote. Maamuz...
  12. N

    Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

    Mnajiangalia upande wenu!! Sometime nyie ndo chanzo. Mtoto wa watu anavumilia mpaka anafika mwisho. Akichukua maamuz ndo mnaanza kusema wanawake wakatili.
  13. N

    Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

    Sababu ni nini hasa! Hata kama umekosa! Aiiiseeeee!
  14. N

    Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

    Samahani ni neno dogo sana,ila lina maana kubwa sana katika maisha! Mfumo dume na kutojtambua ndio kunasababisha baadh ya me wasiombe msamaha!
Back
Top Bottom