Mkuu Bwana YESU asifiwe......naomba niongezee Hilo inaonekana lilikuatunda kama tunda lilivyo,pia inaonekana toka mwanzo walikua uchi ila kwasababu tunda lenyewe lilikua la mema na mabaya ndo maana baada ya kula tu ufahamu ukawajia haa kumbe tu uchi! Lakini pia chakushangaza Dunia yaleo tumeacha...
Jogoo hafi kwa utitiri
Filisika tujue tabia ya mkeo
Heshima pesa ndevu hata mbuzi anazo
Sikila anaekwambia i love you anakupenda wengine wanajifunza kuongea kiingereza
Utasubiri sana wapate ziro hadi miguu itakakamaa hawa ndo wananunua hadi majibu unawakuta wana one alafu kwenye usaili awafanyi kazi wanapata uwakute ifisini sasa utakoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.