Recent content by nguvila th' son

  1. nguvila th' son

    Haya ndio Majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani kote

    Unajiweka ktk kundi la ujuaji but unapotosha watu. Elimu yako juu ya haya mambo ni ndogo sana.nani kakwambia zimamoto na uhamiaji hawajafanya basic training??? Unaposema ijulikane dunian kote,who are you? Jielimishe kwanza
  2. nguvila th' son

    Muonekano wa moja ya ndege mpya za Air Tanzania

    Kwani wanaopinga ama kusifu serikali je nao wanazo serikali?? Hilo ni suala la kitaifa sio suala la mtu binafsi so kuongea kwa neg au pos ni sawa tu kulingana na mtazamo wa mtu. Hauko sahihi kabisa
  3. nguvila th' son

    Mtaji wa million kumi, wazo la biashara

    kwa upande wangu sitakushauri biashara gani ila ni vema uzingatie haya kwa uchache: MOJA ni vema ujiulize binafsi kuwa hiyo pesa umeipta kwa njia gani eidah kwa kudunduliza kutoka katika biashara ndogondogo ndipo ukapata, je kwa msaada wa ndugu au mikopo? au bahati nasibu?? au mirathi...
  4. nguvila th' son

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    allloooo nimekumbuka mbali sana enzi za chai maharage dsm
  5. nguvila th' son

    Msaada kwa wenye mtindio wa ubongo

    Habari wa ndugu, mtaani kwangu kuna binti mwenye tatizo la utindio wa ubongo Mlezi wake ambaye ni Bibi yake amefanya juhudi mbalimbali ili kuhakikisha kijana wake anapata elimu lakini anaishia kupata changamoto mbalimbali hivyo kwa yeyote mwenye msaada wa wowote hata wa kimawazo atusaidie ili...
  6. nguvila th' son

    Mgomo wa amani DIT- Dar es Salaam Institute of Technology. june 2

    Kuna kipnd serikali ilikataza kuzuia mwanafunzi kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu za ada. Sasa je mbona huo unyanyasaji upo na serikali ya nchi kupitia wizara ya elimu iko kimya bila hatua stahiki juu ya mambo haya!! Swali linakuja ni kuwa walitangaza onyo hilo ili iweje?? Na kwa faida ya nani???
  7. nguvila th' son

    Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

    God made man,man made money,money made man mad. R.i.p
  8. nguvila th' son

    Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Itiji Jijini Mbeya amehukumiwa Jela miaka 7

    ni watu wangapi wanauawa bila hatia hata wauaji wapo tu wanatembea vifua mbele,wangapi wanateswa hata kung'olewa meno,kucha hata kuchungulia kabur lakin watesaji wameitwa makamanda? badala ya kushtakiwa? mh hii ndo tanzania,sheria itendeke haki kisheria kwa wote,siping hukumu hyo bal iende mbal...
  9. nguvila th' son

    Serikali Tatu: Ni mfano wa kutoka nchi gani duniani?

    watanzania wengine bhana watu wa ajabu eti wanataka mfano ili waige,kwan sisi hatuwez kuasis jambo? huo ni uoga na kutojiamin na kasumba ya kuamin kizuri mpaka kitoke nje na sio mpaka kila kitu iwe kwa hisan ya watu wamarekan,kama zanzbar tayar wanayokatiba yao,utambulsho wao then sisi bara...
  10. nguvila th' son

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    utashinda? kwa nin unamkebehi
  11. nguvila th' son

    Wale waliomba awareness creation officer

    hakatwi mtu hapa,wamenitumia hao wapuuzi,eti usipige simu we tuma tuu,
  12. nguvila th' son

    Ukweli kuhusu YAP-Tanzania

    hahaa yap-tz nimewakubali huo wiz,mi nimetumiwa juz e mail but nlvyoona payment,mh nkasita.go to web wanakuambia it wil started soon.hapa wamekutana na tp,hakatwi m2
  13. nguvila th' son

    Watoto watekwa, walawitiwa na kuteswa kinyama ndani ya handaki lilipo katika msitu wa Mabwepande

    kwanza taarifa hii iltakiwa ianze kutendewa kaz kimya kimya il kuwanasa wahucka kwan wakipata taarifa watakimbia,na mkuu wa polic hana haja ya kuchelewa askar tunao weng wenye silaha na mbinu,ndio mbona ktk maandamo zinakuja gari hata 20,wauvamie huo msitu na kuwakamata hao watu,hakuna cha...
Back
Top Bottom