Wale waliomba awareness creation officer

Wale waliomba awareness creation officer

Tena nilikua nakuja hapa jF kuwajulisha kuna matapeli nashukuru nimeukuta huu uzi

Mimi nimewajibu straight wanitoe jina langu sababu sioni haja ya kulipia hiyo training yao kwa M Pesa

Ukitaka kuamini ni matapeli wakubwa tembelea hiyo website yao hamna kitu, imesizainiwa tu kimagumashi

Na hapa washaliwa wengi sana

Kuna watu wanakera na kuudhi,wanaibiwa wao najikuta naumia mimi kwa uzembe wao.

Nimefungua hiyo link ya form na cha ajabu imefunguka vizuri hadi sehemu ya malipo wakati mimi sijaapply chochote katika hiyo kazi na hiyo link walitumiwa waliopata hizo kazi. Cha ajabu zaidi sehem ya malipo nimeona M Pesa,tigo Pesa na Airtel Money sijaona bank account pia ukiangalia jina la website yenye hiyo form kwenye address bar havina uhusiano kabisa na kampuni yao au hiyo project yao. Inaonekana ni online forms ambazo anyone can create,nashangaa hapa watu wanaepeana namba za simu kwenye public sijui hata ni za nini. Mimi naumia kozi matapeli wanaongezeka na kuna watu bado wanazidi kurespond kirahisi bila hata kuomba ushauri.
NJAA ZITATUUA.
kuna mende hapo juu amejibu eti kwani 30,000 kitu gani,nimeuliza unajua wametuma wangapi kama wewe? Na je wewe mwenyewe utatuma kama hizo ngapi hadi upate kazi?

Cc King'ast
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna mfanyakazi wa vodacom atuangalizie hii namba usajili wake wa M pesa 0766 712 666

Hiyo ndo namba yao wanataka watumiwe 30,000 for training
 
Kuna watu wanakera na kuudhi,wanaibiwa wao najikuta naumia mimi kwa uzembe wao.

Nimefungua hiyo link ya form na cha ajabu imefunguka vizuri hadi sehemu ya malipo wakati mimi sijaapply chochote katika hiyo kazi na hiyo link walitumiwa waliopata hizo kazi. Cha ajabu zaidi sehem ya malipo nimeona M Pesa,tigo Pesa na Airtel Money sijaona bank account pia ukiangalia jina la website yenye hiyo form kwenye address bar havina uhusiano kabisa na kampuni yao au hiyo project yao. Inaonekana ni online forms ambazo anyone can create,nashangaa hapa watu wanaepeana namba za simu kwenye public sijui hata ni za nini. Mimi naumia kozi matapeli wanaongezeka na kuna watu bado wanazidi kurespond kirahisi bila hata kuomba ushauri.
NJAA ZITATUUA.
kuna mende hapo juu amejibu eti kwani 30,000 kitu gani,nimeuliza unajua wametuma wangapi kama wewe? Na je wewe mwenyewe utatuma kama hizo ngapi hadi upate kazi?

Cc King'ast

Kwa kweli mkuu hizi njaa zitatuua, nasikitika sana wanatumia kina Zoom kupost haya Matangazo
 
Last edited by a moderator:
dah!!! hii ndo faida ya jamiiforummemwenyewe nilitumiwa hiyo sms lakini kilichokuwa kinanitatizani hiyo 30000,kuitoa halafu kingine kwa nini watoe majibu kuwa maombi umekubaliwa kablaya deadline ambayo ni mwezi wa kumi na mbili lakini wao wanakujibu leo kabla ya mda na zaidi wanataka 30000, anuani na namba za simu si za nchi hii website yao nayo ni ya kimagumashi sidhani kama inahusiana na volunteering work. halafu kwa nini wasiweke option ya kulipa 30000,baada ya kuwasilikwenye mafunzo ilinwatu wengi wawaamini, cozhiyo link yakujisajili haikubalikusubmit mpaka ulipie 30000, yao. au wewe uliyelipahiyo hela utatujuza feedbackutazokuwaunapewa,ilakw angu mimi naona usharambwa tayali,huo ndo wizi wakimtandao. hao jamaahawanatofauti na walewakwenye zoometi tuma kiasi kadhaa nishaongea na human rsource.............ha ha ha dah, hi ndo bongo dar es salaam!!!

ila tuzidi kujulishana kwa lolote litalotokea!!
 
Last edited by a moderator:
duh wat akili ndogo kwel elfu30 unamtumiamtu usiyemjua . hiv hamjiuliz maswl kabla ya kufanya jambo. Poleni kwa akili ndogo hta kuwaza kdg hampat
 
sasa hawa watu si wameweka hadi physical address yao? watu si mfanye kwanza utafiti kujua uwepo wao kabla ya kuchukua hatua zingine? Na kwa ujinga zaidi wamegoma ile namba isipigwe
 
Mm pia nmetumiwa email hyo nmejaribu bahat, lkn wanaonekana sio matapeli coz m nmetuma jana na nmetumiwa msg na email leo kuwa nijiandae na training na other important things ntatumiwa mwez dec na kujulishwa utaratibu mzima wa training..
Hapo ndipo utakapolia kilio cha kusaga meno.
 
huo ni UTAPELI MKUBWA hakuna training yakulipia, tunaomba feedback wewe ulielipia ili ije kuwa fundisho kwa wengne, training kuna mawili either bure au upewe posho kidogo ila hakuna training yakulipia.
Unageneralise sana mambo ndugu bila hata kufanya research hebu usiwakatishe watu tamaa, mimi pia niliomba lakini hawajanitumia hiyo email wala msg, sijui kama tapeli anaweza kusortlist watu wa kutapeli, watu kama nyie hamtaacha kulalamika hata fursa ikija hadi midomoni mwenu, mtu aliyefanikiwa sana ni yule anaeona kila kitu ni fursa kwake, hata kama kuna traces za utapeli ataona pia hiyo ni fursa kubwa kwake. Ukiwa mwoga wa kuthubutu na kuchukulia kila kitu negative side huwezi piga hata hatua moja ya mafanikio.
 
Duuh! me nahic ni kama ka wizi flani hivi. Haiwezekani upate kazi alafu kabla ya kazi kuna trainings unazotakiwa kulipia, nnavyojua hizo trainings kama si bure basi aiza wewe ndio utalipwa posho au mwajiri ndio atagharamikia mafunzo. Na kuhusu hizo link za website guyz u know that any one can open a website si ndio? Me nashauri kama akiingia kwenye hiyo link asilipe hela mpaka ajue ofisi zao zilipo akathibitishe
Sio kazi ndugu ni Volunteering, can't you make a research on your own? You judge too early!
 
Kwan tatzo kubwa hapo nin? Ni pesa ngap mtu umespend kwa vitu vya ajabu ndo uje uonee ubahiri 30000,nyie tumeni tu, wakitapeli basi na kama ni issue seriouz basi mambo yatakuwa shwari.
Ni kweli ndugu tatizo watu wanfanaya hukumu ya jumla kwa hisia zao tu, hata hawafany utafiti!
 
Unageneralise sana mambo ndugu bila hata kufanya research hebu usiwakatishe watu tamaa, mimi pia niliomba lakini hawajanitumia hiyo email wala msg, sijui kama tapeli anaweza kusortlist watu wa kutapeli, watu kama nyie hamtaacha kulalamika hata fursa ikija hadi midomoni mwenu, mtu aliyefanikiwa sana ni yule anaeona kila kitu ni fursa kwake, hata kama kuna traces za utapeli ataona pia hiyo ni fursa kubwa kwake. Ukiwa mwoga wa kuthubutu na kuchukulia kila kitu negative side huwezi piga hata hatua moja ya mafanikio.

vitu vingine akil tu inatumika kama ni utapeli ni fursa itumie utatuletea majibu. sababu wewe unaona ndio umefanya research tunaomba majibu ukifanikiwa. asante.
 
Tena nilikua nakuja hapa jF kuwajulisha kuna matapeli nashukuru nimeukuta huu uzi

Mimi nimewajibu straight wanitoe jina langu sababu sioni haja ya kulipia hiyo training yao kwa M Pesa

Ukitaka kuamini ni matapeli wakubwa tembelea hiyo website yao hamna kitu, imesizainiwa tu kimagumashi

Na hapa washaliwa wengi sana
We ni mwoga tu wa kuthubutu, huna lolote!
 
sasa hawa watu si wameweka hadi physical address yao? watu si mfanye kwanza utafiti kujua uwepo wao kabla ya kuchukua hatua zingine? Na kwa ujinga zaidi wamegoma ile namba isipigwe

Hata mi nashauri wafanye utafiti kwaza
 
Fomu yenyewe ndio hii na taarifa zinzoihusu hii organisation, waweza soma mwenyewe alafu uamue juu ya uhalisia wenyewe na Hisia za utapeli ulizonazo juu ya NGO hii.


  • YAP-Tanzania Volunteers Training Online Application Form
  • Summary

    Youth Awareness Program (YAP-Tanzania), is a two years project sponsored by Norway, Japan and United States of America Youth Empowerment Program aiming in creating awareness among the youth in Tanzania and general population as a whole.YAP-Tanzania is implemented by Graduate International Organisation(GIO) from its country office in Stone Town,Zanzibar-Tanzania The project is designed to utilize committed volunteers to address issues like, Awareness on Corruption, Human Rights, Drug Abuse and Sexual Abuse, Awareness on Human Trafficking, Awareness on Gambling, Awareness on Constitution and Democracy. YAP-Tanzania constitutes various activities including Youth Trainings and workshops, Public Awareness Campaigns, Youth Public Forums, Integrating Media and Reality Tv shows, and finally is youth mobilization and sensitization. General project objective is Creating a competent, confident and a well-informed youth population on the current challenges facing Tanzania and the world at large. The project target population is regions of Katavi, Simiyu, Dar es salaam, Arusha,Tanga Morogoro, Mwanza,Dodoma, Shinyanga, Lindi, Geita, Pemba, Unguja , Pwani,Kilimanjaro, Zanzibar na Mara.Graduate International Organization (GIO) will only assent volunteers who've enrolled in training session, please if you have not fulfilled all the requirements in this form to register for the Volunteers TOT Training please let us know as soon as possible so that our volunteers coordination team can replace your name by offering this opportunity to others by writing to this email: gio@graduate.org with the Subject Title: Withdrawing from YAP-Tanzania/Volunteers
  • Personal Information
  • First Name*
  • Sir Name*
  • Sex*
  • Attach your Photo/Upload from your Computer
  • Email
  • P.O.Box
  • Current District and Region*
  • Phone Number(+255)
  • Your YAP- ID Number* Please write your M-Pesa or Tigo-Pesa Receipt Number. You can get it from the feedback message after sending your training registration fee(Tsh 30,000/=)Send it to 0766712666
  • Training Fees

    Details on Volunteers Training Requirements. GIO only invite dedicated and committed volunteers who will be working as Awareness Creation Officers in various regions of Tanzania Mainland and Zanzibar. If you are looking for nice and wealth package and other bonuses we strongly discourage you to apply, remember that our organization doesn't pay salary for volunteers, but only offers necessary incentives to create smooth volunteering environment like per diem, transportation, communication and accommodation as clearly described in the job advertisement sheet. All successful candidates are obligated to ENROLL in a two weeks training session which will be conducted from 06th to 18th January 2014 in Dar es Salaam. Each applicant is required by GIO to register for the respective training by contributing through registration fee of Tshs 30,000/=(tax free). The paid amount will cover for your certificate, training materials, software, and part of it will be used in covering for trainer's expenses.This training will be conducted by Execs Training Specialist from South Africa. After the Training all the candidates will sit for one written aptitude test, one on one interview and practical applications of theoretical knowledge assimilated during the training. Only candidates who will pass our aptitude test and interview shall be contracted for the volunteer job. GIO will cover for all necessary expenses of volunteers during the training like food, accommodation, and local transport. All these expenses during the training shall be covered In-Kind; GIO shall not and will not give cash money to volunteers during the whole training time. This is because majority of the expenses shall be covered by our partner hotels and other donors.
  • Means of Payment

    Please SEND your Training Registration Fee (Tsh 30,000/=) To Graduate International Organisation:Receiving M-Pesa Account Number is (+255) 0766712666 (Don't Call This Number) :Receiver's M-Pesa Registered Account Name is :Graduate International Organization
  • Means of Online Payment*
  • Have you Alredy sent your training fee as required?* Yes No
  • Write the Number you have used to Send Your Training Registration Fee E.g 0721 66 22 77
  • Write the Registered Name of the number used to Send Your Training Registration Fee e.g Donald Josephat
  • Individual Attribute
  • Explain How you think your ability, skills and experience will benefit Youth Awareness Program-YAP-Tanzania(less than 1000 words) especially after attending this special organised training*
  • What Area of awareness creation do you think you can fit best ? (Remember that the organisation can assign you in any of them regardless of your selection)* Human Traficking Drug and Sexual Abuse Corruption Human Rights Constitution and Democracy
  • Please Help us understand the newspaper, or website which helped in advertising our volunteers opportunities. Where did you get the information about this program and volunteering opportunities?
 
mie mwenyewe nimetumiwa hiyo email ndo najiuliza ni ya kweli hayo?
 
Jamani hawa ni kiboko lakini tapeli ni tapeli tu duh,,,,,eti mpesa,tigo pesa tangia lini?hata mimi hiyo fomu yao nimeshtuka hiyo ela na jinsi yakulipa mtu ulipe bila hata yakumjua mtu unaempa hiyo pesa nyooooo,,,,,,,hakitoki kitu hapa.yaani nimegoogle hiyo website yao haifunguki haipo kiufupi wasiojua kupepeleza kwakweli wameliwa.namimi ningekua nalia tu sasaivi loh
 
Hahahahaaaaa, Taaaaaaaaanzaniaa Tanzaniaaaaaaaaaaaaa, Nakupenda kwa moyo woteeeeee.
 
kuna friend of mine ametumiwa hii email asubuh na kuniomba ushauri hasa kwenye kutakiwa kulipa hii 30,000/= binafsi nimemwambia aachane nao.

Email ni hii "good evening
after desk review of your cv on the
application of volunteering job
opportunity in our organization as
awareness creation officer under youth
awareness program (yap-tanzania) we
are happy to inform you that we have
accepted your application and that you
have passed our desk review and that
you are now invited and required to
apply on-line for the yap-tanzania
volunteers training session which will
be conducted from 06th to 18th january
2014, at dar es salaam. After the
training all the candidates will sit for
one written aptitude test, one on one
interview and practical applications of
theoretical knowledge assimilated
during the training. Only candidates
who will pass our aptitude test and
interview shall be contracted for the
volunteer job.
Graduate international organization
only invites dedicated and committed
volunteers who will be working as
awareness creation officers in various
regions of tanzania mainland and
zanzibar to apply for the training. If you
are looking for nice and wealth package
and other bonuses we strongly
discourage you to apply, remember
that our organization doesn't pay salary
for volunteers, but only offers
compulsory incentives to create smooth
volunteering environment like per diem,
transportation, communication and
accommodation as clearly described in
the job advertisement sheet.
Other long term benefits in volunteering
with us are the assurance of job
opportunities in various projects
implemented by gio after six months of
volunteering. We only employ
hardworking volunteers, knowledgeable
and good learners.
All successful aspirants are obligated to
enroll in a two weeks training session.
Each applicant is required bygio to
register online for the respective
training and paying the training
registration fee of tshs 30,000/🙁tax
free). The paid amount will cover for
your certificate; workshop training
materials, software, and part of it will be
used in covering for trainer's expenses.
Only applicants who have applied for
the training shall be contacted for the
training and volunteering.
To apply online please click herehttp://
form.jotform.co/form/33174784302857
you are required to apply/enroll for the
training immediately from now, apart
from that this opportunity will be routed
to other applicants who have applied for
the same volunteering opportunity. You
will not be able to apply more than once
in our system
thanks."

i got the same email mkuu sasa sielewi na utapeli au
 
Fomu yenyewe ndio hii na taarifa zinzoihusu hii organisation, waweza soma mwenyewe alafu uamue juu ya uhalisia wenyewe na Hisia za utapeli ulizonazo juu ya NGO hii.

Mbona unatumia nguvu kubwa kutetea?unahusika nini na wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom