Recent content by Nguve

  1. N

    The English of President Magufuli of Tanzania

    kuwa mtumwa ni shida sana! be critical ,rais wetu akiongea kiingereza basi shida zetu zimeisha? ni ujinga kusifia lugha za watu na kudharau ya kwako, pia inaonyesha jinsi gani uelewa wako wa dunia ulivyo finyu!
  2. N

    Sifuri ni number sio number

    1/0 sio infity, bali ni undefined: maana yake huwezi gawa kitu kwa kisochokuwepo
  3. N

    Lowassa/Zitto Kabwe wapeleka kilio CCM

    Mgaya acha uongo! chadema wameanza kuitawala moshi kwa maana ya madiwani 2010 na imepiga hatua kubwa, ndio maana Cdm wamepewa ridhaa ya kuiongoza moshi tena 2015
  4. N

    Ni kweli kuja kwa Lowassa CHADEMA kumesaidia kitu CHADEMA?

    mtoa mada anatakiwa kuwa mkweli na si kujidanganya! mwaka 2005 kikwete alishinda kwa 80% , 2010 62% 2015 Magufuli kashinda kwa 58.8% ccm imepoteza jiji la mbeya, DAR, BUKOBA,ARUSHA, TANGA, IRINGA,MOSHI nk,wabunge wa ccm wamepungua kulinganisha na 2010.wabunge upinzani wameongezeka. kuwa...
  5. N

    Kauli CHAFU za walimu darasani

    mbuzi ni mbuzi tu!
  6. N

    Idadi ya viti vya CUF na CHADEMA hadi sasa ni vingapi?

    mtu aliyefilisika kichwani huongelea ukabila tu! utabakia kuwaongelea wachaga tu kwa sababu ndio upeo wako wa kufikiria ulipo fikia
  7. N

    Same high school

    usikumbushe kuhusu masandare!
  8. N

    Rangi ya bendera kama sare ya kitchen party

    achane kudanganya fizikia inasema primary colours ni blue , green na red!
  9. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo muleba nije kilimanjaro idara secondari 0766987325
  10. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo muleba nije Dar au moshi 0717329706
  11. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi niko muleba natafuta mwl wa kubadilshana nae mimi niende moshi
  12. N

    Basi gani nzuri na luxury kusafiria kutoka Moshi kwenda Mwanza?

    Nategemea kusafiri jumamosi kwenda Mwanza kutoka Moshi hivyo naomba kujuzwa basi lipi ni nzuri na lina huduma nzuri kama Wi - fi , AC na kucharge simu.
  13. N

    With Hitler There Was Talk of War...Then War. With Putin There is Talk of War

    ni vizuri ukazijua siasa za dunia kabla hujaposti mada!
Back
Top Bottom