Rangi ya bendera kama sare ya kitchen party

Rangi ya bendera kama sare ya kitchen party

Rangi nyekundu kwa CDM mbona yaeleweka yamaanisha upendo? Hao wanaosema rangi nyekundu inamaanisha
kumwaga damu wamekariri, msipende kuwatisha Watz. Hii nchi ni yetu sote whether you're ccm,chadema,nccr,cuf
or act.
 
achane kudanganya fizikia inasema primary colours ni blue , green na red!
 
kwa mfano zambarau inwakilisha utu uzalendo na nini sijui unaotajwa kivipi hasa.Sijui kama kulikuwa na maandalizi kuanzisha hii chama

Siyo kweli zambarau inawakilisha uchungu, mateso au huzuni.Pole
 
achane kudanganya fizikia inasema primary colours ni blue , green na red!

green unaweza kuchanganya yellow na blue kea hiya so primary color. kasome vizuri .

jspo ktk context hii primary Au sio primary si hoja sana. purple???? why watusaidie.
 
Rangi za msingi (primary colours) zenye hadhi, kueleweka na kuaminika duniani ni Nyekundu, Blue, Nyeusi, Kijani, Nyeupe na njano. Rangi hizi popote utakapozikuta duniani huwa zinatoa ujumbe unaoeleweka na kuaminika.

Nimeshangaa sana kuona chama kina bendera yenye rangi ya zambarau rangi ambayo ni ya kupumba kwa kuchanganya marangi mbalimbali na wala haielezi inawakilisha kitu gani hapa Tanzania, Afrika wala duniani. Nimetembea nchi 56 duniani sijawahi kuona bendera ya chama au taifa yenye rangi ya zambarau, labda bendera ya timu ya mpira ya Mbeya city na sare za sherehe za kitchen parties. Huu ni utani wa hali ya juu kwa watanzia waliosongwa na kero za maisha, maana rangi ya bendera inasaidia kutoa matumaini kwa watu waliokata tamaa. Rangi za bendera lazima zitoe ujumbe kwa wafuasi na kwawanaoitazama.

Nadhani hiki ni chama ambacho hakiaminiki sawa na rangi ya bendera yake. NI chama ambacho malengo yake hayaeleweki sawa na rangi ya bendera yake, hakina dira wala mwelekeo, kinatupumbaza wananchi ili tusahau tulikotoka, tulipo na tunakokwenda.
kavulata umetupotosha kuhusu primary colors!
subtractive-primary-colours.gif
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom