ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,967
kama halmashaur za majiji,miji,manispaa kwa kweli ccm imepigwa kipigo cha mbwa mwizi.mwisho wa ufisadi umefika hawana tena uwezo wa kuiba pesa za mradi
Na nyie mna kilio kikubwa sana cha kukosa urais. Hivi miji mikubwa ndio Tanzania? Ccm ulitegemea dunia imesimama tumia akili kidogo kufikiri. Mna viti kaw ujumla havizidi 75 ccm ina 181 lkn kelele nyingiiii
Siipeni ccm hata wanaccm siwapendi
Kwenye ruzuku sidhani kama kuna mabadiliko makubwa kwa sababu Kikwete alishinda kwa 60% ya kura zilizopigwa 2010.
Na kwenye viti maalumu ni hivyo hivyo.
Hivi wewe mwanamke kwa nini unapenda kunichokoza, ujue huwa ninapigwa ban kwa ajili yako mimi sikupendi hata unipe bure na million juu bado sikutakiMuhimu nani anaongoza nchi na bunge?
Nani anaunda serikali?
Na nyie mna kilio kikubwa sana cha kukosa urais. Hivi miji mikubwa ndio Tanzania? Ccm ulitegemea dunia imesimama tumia akili kidogo kufikiri. Mna viti kaw ujumla havizidi 75 ccm ina 181 lkn kelele nyingiiii
Hivi wewe mwanamke kwa nini unapenda kunichokoza, ujue huwa ninapigwa ban kwa ajili yako mimi sikupendi hata unipe bure na million juu bado sikutaki
Na nyie mna kilio kikubwa sana cha kukosa urais. Hivi miji mikubwa ndio Tanzania? Ccm ulitegemea dunia imesimama tumia akili kidogo kufikiri. Mna viti kaw ujumla havizidi 75 ccm ina 181 lkn kelele nyingiiii
Urais umeporwa kwa hila hilo ulimwengu unajua, kuhusu miji mikubwa unajitoa ufahamu kama utalinganisha pato la jiji la Dar na mtwara ingawa zote zina bahari utakuwa hazikutoshi, ujue kwenye majiji ndipo nchi inapiga hela ya kutosha na ccm ndipo wanapofanyia ufisadi. Umewahi kujiuliza kwa nini Tanzania hawataki igawanywe kwa majimbo?
Halmashauri ya KARATU na MOSHI Zimekuwa chini ya CHADEMA tangu mwaka 95 lakini mpaka sasa hizo Halmashauri hazina tofauti na zile zinazoongozwa na CCM.Ngoja tusubiri na hizo nyingine
Mm nipo karatu hapa huwez kulinganisha na hizo halmashauri nyingine wafanyabiashara wadogo tuna enjoy ,,hakuna kodi za kijinga.....vibanda hapa sokoni tunalipia shilingi miambili kwa siku....nenda huko kwa kwa maccm .....kodi zinazid mitaji......
Ka hiyo hamuamini kama Magufuli ndo Rais? Hayo mengine mnajifariji tu
Hivi wewe mwanamke kwa nini unapenda kunichokoza, ujue huwa ninapigwa ban kwa ajili yako mimi sikupendi hata unipe bure na million juu bado sikutaki
Dr. Slaa alishinda kura 26% siyo 40% za Lowassa angalia tofauti . viti maalum zinategeme kura za rais alizopata
Hawa jamaa wawili kwa kweli kwa pamoja tunaweza kusema wamepeleka kiliomtaa wa Lumumba, waswahili husema kwa mjinga huenda kicheko lakini kwa mwelevu huenda kilio.
Halmashauri ya KARATU na MOSHI Zimekuwa chini ya CHADEMA tangu mwaka 95 lakini mpaka sasa hizo Halmashauri hazina tofauti na zile zinazoongozwa na CCM.Ngoja tusubiri na hizo nyingine