Pumbafu sana kazi imewashinda anakimbilia Mahakamani.
Watu wanavyo jazwa kwenye mwendo kasi, wanaambukizana malt drug resistant TB, serikali inaingia garama za kutibu hao watu.
Unaweza kaa kituoni dakika 45 hakuna basi sio mwendokasi Ni mwendo pole.
Standard Gauge Reli na train ya umeme ingeenda chato ningeshukuru, vile inge beba waalimu, Afisa mifugo na nyuki.na watu wa kipato cha chini na Kati, Reli inge chochea maendeleo haraka zaidi,
Chato Airport haina umuhimu.
Kulikuwa na kalenda nyingi sana za kichina, za kiislam za kigiriki nk
Kalenda ya Julius Caesarean ili kuwa bora zaidi kwa sababu;
1. Inaendana na mzunguko Wa dunia kulizunguka jua ambayo inatupatia mwaka wa siku 365 na robo.
Julius Caesarea alizaliwa kwa operation muda mufupi baada ya mama yake kufa. Akijifunga .Ndio chanzo cha operation ya kumzalisha mama mjamzito kuitwa.caesarian section hadi Leo.
Alikuwa Askari na mwanasiasa.
Alichomwa vizu 23, kisu alicho chomwa na Brutus (aliye mlea na kumuingiza kwenye...
Anachofanya ni moja ya kazi zake kabisa,
Kumbuka RC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa wake. Hivyo ni wajibu wake kulinda na kutetea watoto walio telekezwa.
Tatizo unamchukia RC kwa sababu zako unazozijua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.