Golden felician
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 216
- 36
Kampala ni chuo kizuri au kibovu? Maana nasikia kashfa nyingi mno kuhusu hicho chuo.
kwa level yako kinakufaaKampala ni chuo kizuri au kibovu.maana nasikia kashfa nyingi mno kuhusu hicho chuo
Niko mbali tatizo.niko mwanzaKuna best yangu alisoma hapo 1 yr,akasogea UDOM sasa sijui kina matatizo gani! Nenda palepale ukifanye research
Kampala ni chuo kizuri au kibovu.maana nasikia kashfa nyingi mno kuhusu hicho chuo
Yaan sijui kuna agenda gani na hiki chuo lakini amini nakwambia hakuna shule paleTCU wanaachia chuo kikuu kibovu??????????????????????!!?!!!!!!!?????????????
Kama Ni kibovu TCU inatakiwa kuwajibika.
[emoji56] [emoji56]Ni chuo kimoja kizuri sana kwa course za afya zaidi kwa ngazi ya degree
Za kuambiwa changanya na zako.Ni chuo kimoja kizuri sana kwa course za afya zaidi kwa ngazi ya degree
Niambiwe nini?Mimi nimeambiwa wewe hujaambiwa???
Huoni pia kufungia inaweza kutokana na kutaka kupunguza idadi ya wanafunzi wa afya??..kwa sababu kampala walikuwa wanachukua wanafunzi wengi mfano bmls latestly walichukua 250..Niambiwe nini?
By the way KIU ni chuo kizuri ila sio sana kama unavyotaka kuwaaminisha watu.
Labda uwe hujui tofauti ya kusema kizuri na kizuri sana.
Kingekua kizuri sana mwaka wa masomo 2017/2018 kisingezuiliwa kudahili wanafunzi wa kozi za afya kwa upande wa shahada..
Kuzuiliwa kudahili kunaonyesha mapungufu fulani yaliyopo chuoni hapo.
Hivyo habari yako nzima ya kudai KIU ni chuo kizuri sana kwa kozi za afya inakuwa hogwash.
Inawezekana huenda kuna mapungufu Fulani ambayo ingeweza kusababisha mapungufu Fulani hususani kwa cozz za afyaKwanza unajuwa sababu za kufungiwa KIU muhula wa 2017/2018????
sina uhakikaHivi kwanza kimeshafunguliwa na TCU kudahili fani za Afya?