Recent content by Ngurumo

  1. Ngurumo

    Ansbert Ngurumo: Paul Makonda aongoza kikao cha maangamizi ya CHADEMA ambacho ni hatari kwa Taifa

    Hakuna siri tena. Leo tarehe 30:03:2018, saa tisa kamili (9:00) alasiri, saa ambayo Bwana Yesu Kristo alikata roho msalabani, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika muda ule ule, Paul Makonda, alikuwa anafungua kikao maalumu cha kupanga mambo maovu dhidi ya viongozi waandamizi wa Chadema na...
  2. Ngurumo

    VIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Rais Kikwete katika Uchaguzi 2010

    Fanya ulinganifu. Mbowe akemea udini Chadema: Mbowe akemea udini, ukabila - YouTube
  3. Ngurumo

    Zitto: Serikali iache kutafuta mchawi, iende Mtwara!

    Nimeguswa na mjadala huu, lakini napenda kusema mambo mawili. Mosi, nahoji: tunamjadili Zitto au hoja yake? Pili, mimi binafsi najua kuwa chama kinajua na kimemruhusu atoe kauli hii ya utangulizi. Hii ya Zitto inatokana na kauli ya Simbachawene jana, ambayo alii-personalize kwa kumshambulia...
  4. Ngurumo

    CHADEMA ni chachu tu, haiwezi kuikomboa Tanzania

    Bayana, unapoteza muda wako kwa spinning za kijinga. Pole sana!
  5. Ngurumo

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Huyo ambaye ungemsikia NDIYE HUYU usiyetaka kumsikia!
  6. Ngurumo

    Hivi Mbowe hili unalionaje?

    Tumbiri, ndiyo! Mimi ni Ansbert Ngurumo, huyo huyo unayemfahamu. Chini ya andishi langu nimeweka jina langu na namba zangu za simu.
  7. Ngurumo

    Hivi Mbowe hili unalionaje?

    BAADHI yetu tumezoea kukosoa wengine. Hivyo, tunapokosolewa, hatuoni shida. Tatizo ni pale watu wanapotunga uwongo na kuufanya uwe ukweli. Inawezekana kuna ups and downs katika gazeti hili, kama ilivyo kwa biashara nyingine yote ile. Lakini ukweli ni kwamba gazeti hili limevuka vihunzi vingi vya...
  8. Ngurumo

    Nape ashangilia ushindi wa CHADEMA?

    Nape hajashangilia. Amekubali kushindwa. Kwani alikuwa anafanya nini Arumeru na Mkapa wake?
  9. Ngurumo

    Matokeo ya Arumeru: Salaam kwa Edward Ngoyai Lowassa!

    Mjadala upewe uzito unaostahili. Tusianze kutetea na kusafisha CCM hapa kwa kisingizio cha kumshughulikia Lowassa. Aliyeshindwa ni CCM na mfumo mzima wa chama hicho. Mkapa, Lowassa, Kikwete, Msekwa, Wassira, Nape, Nchemba, Lusinde na wote walioshiriki siasa hizo ndani ya chama. Naogopa...
  10. Ngurumo

    Tundu Lissu aunguruma Bungeni!

    Naona kama hotuba iliyowekwa awali imekatwa. Naweza kipande kizima hapa kwa faida ya wote. MAONI YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA KATIBA NA SHERIA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU (MB.) KUHUSUMPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KATIBA NA...
  11. Ngurumo

    Zitto: Sijengwi na Kikwete, najijenga mwenyewe

    1. Kwa maoni haya yote ninayoyaona humu JF, ni dhahiri kwamba gazeti limefanikiwa kuibua mjadala. Kuna ubaya gani? 2. wengine hapa mnamlaumu Mbowe bure. Naye ni mwathirika wa habari hii. Ni msomaji kama nyie. Stori yenyewe haikutoka kwa Mbowe wala yeyote wa Chadema. Imetoka Ikulu na kwa Zitto...
  12. Ngurumo

    Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    Kikwete ana haki kuwa na maoni. Lakini hana haki ya kutuchagulia rais, au kutujengea hoja ya namna ya kumpata. Hajafanikiwa kututeulia mawaziri wachapakazi kwa miaka sita. Hivyo, hawezi kuaminika katika kutuchagulia rais. Na tukichunguza kwa undani mantiki halisi ya spinning hii ya JK na...
  13. Ngurumo

    Mfahamu Hussein Shekilango, aliyepewa jina la barabara jijini Dar (kuanzia Bamaga - Urafiki)

    Namfahamu Mama Shekilango. Jina lake ni Zippora. Anaishi Kinondoni, si Seaview; labda kama ana ofisi huko. Yupo mzima kabisa, ni mwanaharakati wa masuala ya jinsia. Anadunda.
  14. Ngurumo

    Ansbert Ngurumo anauliza: Maamuzi magumu? Mbona tuko gizani?

    Kumbe kumwita Lowassa waziri mkuu mstaafu ni kununuliwa! Ok. Ngoja nimuite former PM.
  15. Ngurumo

    Jidulamabambasi is no more!

    Poleni wafiwa! Mungu ailaze roho yake mahali pema!
Back
Top Bottom