Hakuna siri tena. Leo tarehe 30:03:2018, saa tisa kamili (9:00) alasiri, saa ambayo Bwana Yesu Kristo alikata roho msalabani, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika muda ule ule, Paul Makonda, alikuwa anafungua kikao maalumu cha kupanga mambo maovu dhidi ya viongozi waandamizi wa Chadema na...
Nimeguswa na mjadala huu, lakini napenda kusema mambo mawili. Mosi, nahoji: tunamjadili Zitto au hoja yake? Pili, mimi binafsi najua kuwa chama kinajua na kimemruhusu atoe kauli hii ya utangulizi. Hii ya Zitto inatokana na kauli ya Simbachawene jana, ambayo alii-personalize kwa kumshambulia...
BAADHI yetu tumezoea kukosoa wengine. Hivyo, tunapokosolewa, hatuoni shida. Tatizo ni pale watu wanapotunga uwongo na kuufanya uwe ukweli. Inawezekana kuna ups and downs katika gazeti hili, kama ilivyo kwa biashara nyingine yote ile. Lakini ukweli ni kwamba gazeti hili limevuka vihunzi vingi vya...
Mjadala upewe uzito unaostahili. Tusianze kutetea na kusafisha CCM hapa kwa kisingizio cha kumshughulikia Lowassa. Aliyeshindwa ni CCM na mfumo mzima wa chama hicho. Mkapa, Lowassa, Kikwete, Msekwa, Wassira, Nape, Nchemba, Lusinde na wote walioshiriki siasa hizo ndani ya chama. Naogopa...
Naona kama hotuba iliyowekwa awali imekatwa. Naweza kipande kizima hapa kwa faida ya wote.
MAONI YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA KATIBA NA SHERIA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU (MB.)
KUHUSUMPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KATIBA NA...
1. Kwa maoni haya yote ninayoyaona humu JF, ni dhahiri kwamba gazeti limefanikiwa kuibua mjadala. Kuna ubaya gani?
2. wengine hapa mnamlaumu Mbowe bure. Naye ni mwathirika wa habari hii. Ni msomaji kama nyie. Stori yenyewe haikutoka kwa Mbowe wala yeyote wa Chadema. Imetoka Ikulu na kwa Zitto...
Kikwete ana haki kuwa na maoni. Lakini hana haki ya kutuchagulia rais, au kutujengea hoja ya namna ya kumpata. Hajafanikiwa kututeulia mawaziri wachapakazi kwa miaka sita. Hivyo, hawezi kuaminika katika kutuchagulia rais. Na tukichunguza kwa undani mantiki halisi ya spinning hii ya JK na...
Namfahamu Mama Shekilango. Jina lake ni Zippora. Anaishi Kinondoni, si Seaview; labda kama ana ofisi huko. Yupo mzima kabisa, ni mwanaharakati wa masuala ya jinsia. Anadunda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.