Tulio karibu bado hatujajua ila hata kama ni fataki za wahindi tulizozizoea miaka yote meaka huu imekua too much..Mkuu atakua Dom nini inamana hasikii???
Nadhani wote tuna akili timamu humu..nikimanisha kuwa jibu tunalo kuwa kwa nini lowasa hawezi kushitakiwa..Mimi naanza na hili wengine mmalizie nyinyi.(1) Hivi boss wa lowasa si alikua jk? sasa bosi itabidi ausike tu katika hili maana yeye ndie alikua mwenye saini ya mwisho na ya kwanza katika...
Kwa kazi gani inayofanywa...?kazi kubwa ingeanza na kutumbua lile jipu la Richmond na wote walio husika hapo tungeona iyo kazi..kazi imekua ya usafi kila jumamosi[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sizani kama kauli zinazo onenaka ni maamuzi binafsi ya mtu mmoja ni vizuri kuyafumbia mdomo ikiwa ni athari kwa wengine na faida zao
ni bora tuache nchi iende kwa misingi ile ile tuliyolelewa na wakuu waliopita.kama walikua wanakosea basi wawajibishe kwa uongozi wao mbovu uliotulea..
Tufikilie tu hivi lowasa akishitakiwa wangapi watakua mbele yake na wangapi watakua nyuma yake...iyo kesi itaishia kusemwa kwenye vijembe tu na wale waheshimiwa wapenda mipasho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.