milio yateokea town mkuu sio huko Gongo la MbotoHope ni kwema, nimecheki na MTU wa Gongo LA mboto sio huko, Sijui labda Mbagala.
usingizi wote umekata wallah...
yanayokea Kigamboni ama nini??kigamboni hiyo sijui kambi imevamiwa
AiseeeLeo ni sherehe za kihindi inaitwa diwali ni fataki hizo zinazolia mi niko kariakoo nashindwa hata kulala wanapiga mafataki mazito utafikiri mizinga