TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Wewe unaona unashrikisha ubongo?Ukiwa unashirikisha ubongo huwezi andika hayo uliyoandika
Wewe unaona unashrikisha ubongo?Ukiwa unashirikisha ubongo huwezi andika hayo uliyoandika
Mnambwaga nyie akina nani. Kwani mlimchagua? Acha vitisho. 2020 ukonga tunasafisha ccm kuanzia s/mitaa, kata na ubunge.Wanajipima ubavu, wanadhani itawasaidia kuwashawishi wananchi wawaone wanaweza Waitara tunamwangalia tu huku UKONGA, 2020 bila kitu tunambwaga hainaga USHEMEJI hiyo.
Nipo hapa kwa auncle MagufuliWewe uko nchi gani?

Hakuna cha maana alichokisema, ni mwendelezo ule ule wa kutafuta umaarufu. Aliyoyasema yamesemwa sana na watafuta umaarufu kama yeye, wamemuwahi.
Umoja wa kutetea Ufisadi Tanzania.01/09/2016.
# UKUTA
Wewe siyo mpiga kura wake acha kubwabwaja. Hii ni tabia ya LizaboniWanajipima ubavu, wanadhani itawasaidia kuwashawishi wananchi wawaone wanaweza Waitara tunamwangalia tu huku UKONGA, 2020 bila kitu tunambwaga hainaga USHEMEJI hiyo.
Bora umemweleza huyu tatadiba, naona busara yake inapungua siku hadi sikuMnambwaga nyie akina nani. Kwani mlimchagua? Acha vitisho. 2020 ukonga tunasafisha ccm kuanzia s/mitaa, kata na ubunge.
Haa haa natamani na wengine waanzishe UMOJA WA KUTETEA UVUNJAJI WA KATIBA TANZANIA.Umoja wa kutetea Ufisadi Tanzania.
Rais anawagwaya UKAWA, lakini kwa sababu ya rais huyo huyo UKAWA wameanza kuwagwaya Wananchi , 2020 Magufuli hapigi kampeni.na kwa jinsi rais wako anavyowagwaya ukawa iko siku ataamrisha TV na Redio zote marufuku kuwaalika upinzani isipokuwa wanaccm tu.
Naona imekuwa wakati muafaka kwa kila kila mbunge wa chadema kupata kick kwa kutumia jina la magufuli.
Aangalie isije ika 'MKOSIT'MWITA Waitara, Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam amesema, marufuku ya vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara nchini inatokana na kukosekana kwa fikra pevu miongoni mwa viongozi, anaandika Regina Mkonde.
Waitara ambaye pia ni Mwenyekiti wa Uongozi Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dar es Salaam amesema hayo leo katika kipindi cha ‘Tuongee Asubuhi’ kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Star TV.
“Anachofanya Rais Magufuli ni kuzuia siasa za CHADEMA ili tusijiimarishe huku yeye akisuka mipango ya CCM kusikika peke yake pia anadhibiti vyombo vya habari vinavyoandika ukweli, hii ni siasa ya kitoto,” amesema na kuongeza;
“Maamuzi yaliyofanyika si ya haki, Magufuli amezuia mikutano ya CHADEMA anaruhusu ya CCM tu, mwanzo alikataza mikutano ya hadhara lakini alipoona chama chake kitahitaji kufanya mikutano akaruhusu wabunge kufanya kwenye maeneo yao, jambo hili si sawa.”
Waitara amesema kuwa inashangaza kuona hata tamko la kuwataka wabunge na madiwani peke yao kufanya siasa katika Kata na Majimbo yao likikiukwa kwa kuwaruhusu viongozi wakuu wa CCM kufanya mikutano lakini viongozi wa upinzani wakizuiliwa.
“Christopher Ole Sendeka ni msemaji wa CCM na siyo Mbunge, amefanya mkutano mkoani Arusha na polisi walimlinda wala hawakumzuia, lakini ukiacha hilo vyama visivyo na wabunge au madiwani vitajijenga vipi na kupata wabunge wapya bila mikutano?” Amehoji.
Katika hatua nyingine, Waitara amesisitiza adhima ya CHADEMA kufanya mikutano na maandamano nchi nzima kuanzia Septemba Mosi mwaka huu ili kupinga viashiria vya udikteta ambavyo vimeanza kuonekana katika serikali ya awamu ya tano.
“Kufanya mikutano ya hadhara ni haki ya kikatiba na kisheria kwa vyama vyote vya siasa, na UKUTA upo pale pale kwasababu hii ni nchi ya vyama vingi, kama CHADEMA hatufanyi mikutano ya maendeleo watuache, waitishe ya kwao na watushitaki kwa wananchi,” amesema.
Hakuna ukweli wowote nilioambiwa hapo, ukweli tutaujua 2019 na 2020.Waitara akirudi mnikate kidole mimi mkurya mwenzake lakini dalili za kumng'oa zimeshaonekana.Bora umemweleza huyu tatadiba, naona busara yake inapungua siku hadi siku
Waitara si lolote na wala si chochote kwa Magufuli.Aangalie isije ika 'MKOSIT'
Wewe kundi moja na Lissu, kundi la MIREMBEUtakua jamii ya kitwanga
Wewe kundi moja na Lissu, kundi la MIREMBEUtakua jamii ya kitwanga