Recent content by Ngunichile

  1. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa matibabu ya gono

    Pole sana ndugu. Sijuhi kwa sasa lakini miaka ya 70s magonjwa ya zinaa kama Syphilis(kaswende), Gonorrhea(kisonono), Malengelenge kwenye uume, Kabambaru na mengineyo yalijuwa yanatibiwa kirahisi sana na Penicillin / PEN V. Nakumbukuka tulikuwa tunapeana ushauri kwamba ukipata...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jjazajuan sisi Wachagga tunasrma Fosia
  3. N

    JamiiForums Tanzania John Heche akutana na Tundu Lissu Nchini Italia

    Zilinasa kwenye TRAP
  4. N

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa kina kuhusu kozi za computer - IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security

    Saaana. Na nashangaa kwa masaa 20 wachamgiaji hawajafika 50, wabongo tumelaaniwa aisee. Asante sana boss kwa uzi makini, nimepata guidance ya watoto wangu
  5. N

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

    Unakosea sana. Kwa nini unataka mkulima awe mtumwa wako ??? % kubwa ya wakulima hawajawahi kunufaika na Kilimo miaka nenda/rudi sasa Mungu amewaona wamepata nafuu ya bei wewe unalalama. Basi na wewe kalime ....
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale Wake Zenu Wanaofanya Kazi(walioajiriwa) Poleni Sana, Nilichokiona Jana Kinasikitisha

    [emoji4][emoji4]like dissolves like siyoo !!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Faida na hasara za kununua apartment/floor kwenye ghorofa

    1. Huwezi kuchimba shimo la taka 2. Huwezi kupanda mti wa kivuli au mti wa matunda
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na mtu anauza manati

    Watu wenye restaurant, maduka ya nyama na Samaki, caterers etc etc wanatundika manati sehemu mbalimbali ya maeneo ya bihashara zao kufukuza kunguru. Nimeona ikifanya kazi vizuri tu. Wengine wanafanya urembo tu
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada 'smart' mna gharama sana

    Ama danga
  10. N

    JamiiForums Tanzania RPC aliyetamani cheo cha IGP huenda kuna kitu kakiona kuwa hakipo sawa

    Tayariii [emoji4]
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tujadili Mfumo wa Elimu utakaotufaa Tanzania. Maoni yataunganishwa na kufikishwa Bungeni na Serikalini

    Daaah. Nilitegemea hii mada iwe na wachangiaji zaidi ya 500 within 3hrs
  12. N

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuna uhaba mkubwa sana wa Competent Computer Scientist

    Na kutokuwa serious pia inachangia. Unakuta kijana kamaliza CS degree badala ya kupambana apate certification kadhaa yeye anapambana kununua Subaru ya kuwanasia mademu.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Vita ya Ukraine na Urusi: Mwisho wa zama za vifaru umefika

    Kuna John & Rajabu lakini wote wameshakufa [emoji4]
  14. N

    JamiiForums Tanzania Vita ya Ukraine na Urusi: Mwisho wa zama za vifaru umefika

    You are very right. Ukweli ni kwamba Putin anaichapa Ukraine systematically n in the next two weeks Ukraine itakuwa imedhohofu kiasi cha kutokusimama tena kijeshi in the next 20 yrs. Yaani jamaa mashambulizi zake yanalenga kambi za jeshi, wanajeshi na miundombinu ya kijeshi
  15. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

    Mkuu, pamoja na kuwa na umri mkubwa lakini kwenye maisha unakuta umejichanganya mpaka umefikia point of no return.
Back
Top Bottom