Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,287
Hakika umemwambia ukweli. Huyu ni mdangaji tena wa kiwango cha juuUmedhalilisha neno smart,, hizo sifa sio za mwanamke smart ila Ni sistaduu ama slay queens
Hakika umemwambia ukweli. Huyu ni mdangaji tena wa kiwango cha juuUmedhalilisha neno smart,, hizo sifa sio za mwanamke smart ila Ni sistaduu ama slay queens
tamaa mbaya..huwa inafka mahala unaridhika tu na ulie nae.Alafu hawa viumbe hawaeleweki, huyu unamuona mzuri; ukikata kona kidogo tu, unakutana na kifaa kingine matata
Utazunguka bucha zote kusaka nyama nzuri, lakini nyama ni ile ile (ingawa kuna utofauti wa nyama buchani).Kila mbuzi ale usawa wa kamba yake...
Mwanaume mwenyewe wa siku hizi ukijigeuza kikoba kila siku mahitaji mapya anakukimbia kweupeeee
Yani wanaume wa siku hizi wanapenda upendeze kwa gharama zako yeye akija anafaidi utamu tuu asiojua umependezaje...
Bora nibaki na utamu wangu asee
Raha ya mwanaume uhudumie mwanamke wako apendeze hata akiwa ametangulia unajiskia ufaharii
Lakini k? Majanga.Anaongelea u smart wa mavazi ama?
Umedhalilisha neno smart,, hizo sifa sio za mwanamke smart ila Ni sistaduu ama slay queens
Ulishawahi kukutana na kifaa, ukahisi labda ameshushwa toka mbinguni?Neno smart haliusu hapo hao ni changudoa wa level furani, ya kati, au chini siyo smart kama unavyosema. Wanawake ambao ni smart huwa Wana elimu nzuri,kazi nzuri, mizinga yao unapeleka mwenyewe, siyo akuombe, wengi wao hawezi kuomba pesa ya nguo wigi, nauri, pango. Wao ni mwendo wa nyumba, gari nzuri ya kutembelea na mitaji ya biashara zao Kama mke mpya wa mzee Mrema alivyokuwa anatamba ana biashara zake kubwa kubwa kumbe mzee ilikuwa nyumba ndogo miaka mingi sana, mzee alikuwa anatoa fungu kubwa la kuanzisha biashara kwa nyumba ndogo. Mke wa marehemu mzee mengi etc hao ndo smart. Hao wa wigi, nauri, pango la nyumba, chakula, mjomba anaumwa, shangazi anaumwa etc hao ni wachumia tumbo. Wengi wanatumika kingono zaidi kwa sababu ya maumbo yao ya kuvutia basi, wengi hawako smart especially wa matako makubwa sana kichwani huwa zero kabisa 💯.
Smart in appearanceKuna mawili wewe ni "either" mpumbavu au huna akili.......unashindwaje kuelewa maana ya neno "smart"........hadi kulifananisha na hulka za wanawake wanaojiuza?
Smart in appearanceAsante kwa kumfafanulia, content haisadifu heading.
Usmart wa mwili, ndio kivutio kizuri kwa mwekezajiBila shaka unazungumzia usmart wa mwili sio usmart wa akili kwani ni vitu viwili tofauti.
Kama wa mwili sawa, ila ukitaka hufurahie maisha ya ndoa, oa mwanamke ambaye ana usmart wa akili, ukioa hao wenye usmart wa mwili unajitengenezea kijehanum chako hapa hapa duniani.Usmart wa mwili, ndio kivutio kizuri kwa mwekezaji
Kila kitu kina umuhimu wake; nafsi ikifurahi ni muhimu zaidiKama wa mwili sawa, ila ukitaka hufurahie maisha ya ndoa, oa mwanamke ambaye ana usmart wa akili, ukioa hao wenye usmart wa mwili unajitengenezea kijehanum chako hapa hapa duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umedhalilisha neno smart,, hizo sifa sio za mwanamke smart ila Ni sistaduu ama slay queens
Ila wana nn mommah? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda wa smart kimuonekano tu.
Ila beauty with brains hawanaga hizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2206331mpeni pongezi mwamba kavaa JF anasambaza upendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mwehu lol.Umemaliza yote dia labda niseme tu wacha nizeekee tu nyumbani na vile sikosi viji laki laki vyangu akuuuuu! Asipopatikana anaejuwa kujipendezesha na kunijali na mimi wacha nibaki mwenyewe so long as naweza jipendezesha mwenyewe.
Mtu hajui napendeza vipi ati anataka vya mteremko? Kazi kunisifia nimependeza wakati hajachangia hata mia? Nooo wacha nibaki mwenyewe.bora uzima.
Shouzzz vipi hutoi neno? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa!
Hivi ushajiuliza kuna wanaume kibao wake zao wazuri sura ,wana mishepu ya haja lkn nyumba ndogo anayoishi nayo ya kawaida.Kila kitu kina umuhimu wake; nafsi ikifurahi ni muhimu zaidi
Ukichunguza sana, rika ambalo uchumi unakuwa umetulia, ndio uanza kutafuta wale watu waliokuwa wakiwatamani, kipindi ambacho uchumi haukuwa vizuri.Hivi ushajiuliza kuna wanaume kibao wake zao wazuri sura ,wana mishepu ya haja lkn nyumba ndogo anayoishi nayo ya kawaida.
Kuna kipindi kwenye ndoa unahitaji kufocus na mambo ya familia, kila senti itumike kwenye kujenga familia na mahitaji yake na kuna kipindi tena vile vigumu lazima mjitoe sadaka kwa ajili ya familia na hapo ndipo akili inapotumika.
Ila si shangai kila mtu na type yake,may be unazo hela za mchezo.
Sijui kwako mimi kwa mazingira niliyo ambayo yame nikuza, kuna kikundi fulani ya mabrothers zangu wa mtaa, wapo kama kumi hivi walikuwa na timu yao ya basketball.Ukichunguza sana, rika ambalo uchumi unakuwa umetulia, ndio uanza kutafuta wale watu waliokuwa wakiwatamani, kipindi ambacho uchumi haukuwa vizuri.