Hiyo technical education ni nzuri zaidi ukilinganisha pia na uhaba wa walimu wa ufundi katika vyuo vingi vya ufundi kuanzia ngazi ya veta na hizi shule za ufundi kama iyunga tech,moshi tech ,ifunda tech n.k soko lake lipo sana tu na nikozi mpya maalamu na kwa wakati sahihi kwa ulimwengu huu wa...
Hakuna chuo kinachotoa kozi ya Transformers/power Transformers hapa Tz but ukiapply vyuo vya ufundi kama DIT ,ATC ,MUST au VETA kuna modules mfano Ac Machines (ElectricalMachines),Electrical installation ,Transformer Rewinding, Electrical Protection and Maintenance etc.utajifunza vitu kuhusu...
Inawezekana ni G.P.A yako tu ya diploma iwe imemeet cut off point , na utapiga 4 years baada ya 3 years kwa relevant course kwa vyuo kama DIT japo MUST walishatoa huo mfumo nafikiri kuanzia mwaka huu wote ni 4 years kwa kozi za engineering.
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
True mkuu me binafsi nilikuwa na mawazo kama hayo na nilikuwa siendi interview zao za utumishi nikiitwa nikicheki kuna msululu wa watu halafu anahitajika mtu mmoja au wawili mpaka jamaa yangu mmoja ninaye mjua kbsa alipopata ndio kama alinipa ushawishi wa kuwaamini kama inawezekana kweli asee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.