Zawadi ndugu..., umesema CDM haikubaliki na wasomi, hapohapo unasema uongozi si lazima uwe na madegree.....? We u nani hasi, kuwa mmoja tukutambue basi ama usimamie msimamo wako wa shule ni uongozi ama uje huku uraiani uamini uongozi ni karama.... Kifupi CDM hakuna pumba tupu, daima kila kitu...