Ndekirhepva
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 371
- 44
Angalia neno "achaneni" limetumikaje.Tatizo la wanachama wa Chadema huwa hawapendi ukweli.Ukiwaambia ukweli wanatukana.Mimi niwe na ajenda ya siri kwa ajili ya nini?Kutoa ushauri kama huu ni mapenzi tosha kwa chadema.Jaribuni kuelewa.Nasema Chadema "iachane" na Dr.Slaa.Maana yangu si mfukuze,au ipuze mchango wa Dr.Slaa.Maana yangu ni kwamba tayari Dr.Slaa anauzika,anafahamika,haina haja ya chama kutumia rasilimali nyingi kwa ajili ya mtu mmoja.Iwezeke kwa wanachama/wananchi ambao ndio watakaompigia kura Dr.Slaa wakati wa uchaguzi kama atapitishwa na chama chake.
Wewe ni m(....) maneno yote yanayoingia hapo kweny mabano yanakuhusu,
kwani umeona CHADEMA ni THT ama ni kituo cha kukuza vipaji?
Kama umeshakubali anauzika basi umpe kura yako sio kutokwa povu as if umepakwa ----- wa masaburi, Serukamba you..!
Na kama unataka mapenzi na CHADEMA, sisi hatufanyi huo ufirauni,nenda kwa Malima alieibiwa na Malaya kule Moro