CCM na ndoto za Mchana

CCM na ndoto za Mchana

nimejaribu kuelewa unachotaka kutuambi alakini nimeshindwa inabidi nitafute mwalimu wa lugha zisizoeleweka anisaidie kupata gist ya huu uzi, otherwise jukwaa la utani ndio mahali pake sahihi

Umeelewa lakini unataka kutuaminisha hujaelewa ili maboss wako wasikutose
 
Wabunge wa ccm wanaamini watachaguliwa tu na watanzania masikini kama watawapa wali,pilau,nyama na hata pombe,kwa hiyo wao huamini pesa zao ndo zimewachagua!
 
wabunge makini watabakije ndani na kujadili ugoro? serikali dhaifu huandaa miswada dhaifu ambayo hujadiliwa na wabunge dhaifu wa chama dhaifu tu.R.I.P CCM
 
Hivi CDM mmeshajiuliza hatima yenu?Maana ushindi wa Mugabe ulikuwa unatosha kabisa kuwapa somo.Wenzenu wapo busy kushughulikia miradi ya maendeleo,nyie hamjawaza hata kufanya upanuzi wa Chama.Ni bora mngemsikiliza Mzee Mtei,kuliko kujiaminisha na ndoto za alinacha.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI,KAMA NAMUONA CAPTAIN KOMBA NA QUEEN WA MWANANYAMALA 2015 ,HAKIKA MTAPATA LIWAZO KUTOKA TOT,NYAMBAF!
 
Duuu et ccm mnajifananisha na mgabe?????mgabe anatetea wanyonge ka ilivyo kwa cdm poleni subilini za uso T2015CDM
 
Back
Top Bottom