Napenda kuwafahamisha kwamba sasa hivi mimi ni Wakala wa Bima. Ninatoa huduma za Bima kwa wateja na mali zao. Huduma ninazozitoa ni kwaajili ya kinga ya majanga yafuatayo;
Ajali za Magari, wizi,moto,safari, fedha , udanganyifu wa wafanyakazi , viwanda, vifaa vya umeme,mashine mbali mbali...