Recent content by NG'ONGOVE

  1. N

    Zitto Kabwe ndani ya Karatu

    Inamaana hata shule za kata ulishindwa kwenda? raisi tz ni lazima awe na miaka 40 na kuendelea, huyo raisi wako zito anayo mingapi?
  2. N

    Zitto Kabwe ndani ya Karatu

    Nyie magamba acheni u-mangungo, tangu lini mkeo akasifiwa na mume jirani yako kuwa anajua mambo? ukiona hivyo ujue kuku kaliwa, hapo hamna kitu. hongereni kuwasaidia cdm kujua kwa nini zito anakubalika na ninyi magamba
  3. N

    Zitto Kabwe ndani ya Karatu

    Wai lumumba kawambie, wakubadilishie style, hii ni ya kizamani sana tulishaichoka.
  4. N

    TBC1 kuandaa kipindi maalumu na kutoa tamko kali dhidi ya CHADEMA

    Waacheni tbc1 walikoroge wakati cdm inachanja mbuga, itasaidia ku-speed up m4c
  5. N

    CHADEMA wamfungulia kesi Nape

    Hapo cdm watakuwa wamemfunga spidi gavana nape
  6. N

    Baba yake Dk Ulimboka atoa ya moyoni

    Tumuacheni DR Uli, kwani hata tulipoujua ukweli wote kupitia mwanahalisi tulifanya nini? hatua gani tulichukua? mimi naona ni bora DR Uli ajikalie kimya tu. sababu hata akisema ukweli wote watz kwa jinsi tulivyo hakuna tutakacho fanya zaidi
  7. N

    Zitto Kabwe, ndani ya Addis na JK

    Huyu bwana anamatukio mengi yenye ukakasi kuhusu cdm, 2010 aliahidi kumpigia kampeni kafulila ambaye alikuwa amekihama chama ktk jimbo ambalo cdm walikuwa na mgombea pia. Lakini kwa kuwa tunamjua, tukae naye kwa tahadhari asije leta madhara. huu ukaribu wake na m/kiti wa ccm sio bure
  8. N

    Ndugu waislam wenzangu, hongereni kwa kuisafisha CHADEMA kuwa si chama cha vurugu!

    Tusipokuwa makini kutapatapa kwa marehemu mtarajiwa (ccm) kutatuachia makovu mabaya hata tukichukua nchi
  9. N

    Critical analysis: Taarifa ya polisi kuhusu jinsi alivyouawa muuza magazeti Morogoro

    Usituulize sisi waulize hao polisi mnaowatuma kuua. Hata kama mnatafuta usiku na mchana kuwaua viongozi wa cdm Mungu wa mbinguni anawalinda na lisasi zenu.
  10. N

    CHADEMA waelezea kilichotokea siku ya tukio la kuuwawa kwa Daudi Mwangosi

    Unajua kwa umri wa mh Tendwa ukilinganisha na matamko yake unaweza kutenda dhambi bure, bora kum-ignore tu
  11. N

    Edward Lowassa: Bora kuwa na Rais kama Kagame ili tuendelee

    Mkuu Lowasa kesha kunasa nini? mbona huko kuna akina magufuli na akina mwakyembe. lakini nao wakitaka kuendelea kutoa mchango kwa taifa hili lazima wahamie M4C. Vinginevyo wajiandae kutupisha.
  12. N

    DC Mbarali apigwa mawe, anusurika kifo!

    Alitaka mjue kuwa anauweza u dc
  13. N

    Nataka nijue faida za kuwa mjumbe wa NEC

    Ndio uzalendo kama wa chenge kuficha vijisenti vya rada nje, lowasa na richimond, hata kuuza wanyama pori hai nje na kuingia mikataba ya kimangungo tena kwa ari, nguvu na kasi zaidi. bila ya sifa hizo ujumbe wa nec utaishia kuusikia tu.
  14. N

    CCM kukata rufaa Ubunge Igunga...

    Watamchagua jaji aina ya aliowataja Tundu Lisu asikilize hiyo rufaa, sababu jaji huyo kuandika hukumu peke yake anatumia zaidi ya muda wa miaka 3. kwa mbimu hiyo watakuwa wamefanikiwa kuizuia cdm kutwaa jimbo hilo kwa kipindi kilichobaki kufikia 2015
Back
Top Bottom