Hii bora huyu kuliko huyu haisaidii, watanzania tupo 50milion ndani yake wapo watu wazuri wa kuongoza nchi achana na hii bora bora yako hapaWakati akiongea, nilimsikia akimsifia Kagame, kuwa bora tuwe kaksi kama Kagame ili tuendelee, tusiwe legelege, dhaifu dhaifu..tuwe na kiongozi mwenye kuchukua maamuzi magumu kama yana manufaa kwa taifa.....Kwa upande fulani...najua jamaa lina kashfa ya richmond,....lakini pamoja na ufisadi wake, nadhani ni bora Lowasa mara mia kuliko rais dhaifu....kuwa na Rais ambaye kidogo ni dictator kama kagame au Lowasa kipindi chake cha miaka miwili kama PM, ni bora mara mia kwasababu tukikumbuka kwa ile 2 years alichachafya wavivu wengi sana na wengine waliacha kazi on da spoti....Nadhani tunahitaji rais kama Lowasa.....mfano wa kagame...tukijachagua rais dhaifu tena, tutachezewa ngoma za kikwere na hatutafaidi chochote....zaidi ya migawanyo katika nchi na umasikini.