Jamani, Tuliangalie jambo hili kwa umakini unaostahili. Tuweke maslahi ya Taifa mbele. Tukiangalia rasilimali zote tulizo nazo Tanzania tunastahili kuwa hapa tulipo?! Tujiulize, kwanini tupo hapa? Ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi na viongozi bora. viwili tunavyo, watu safi tena wengi 45Mil...