Habari wana bodi,hapa siandiki mengi, lakini ya mzee Makamba kwamba Lowasa ni mtu wa watu ni ya kusafisha njia kueleka 2015 pasi na shaka yoyote,sasa ni hivi mimi nitagombea ubunge lakini kama huyu mtu atagombea urais, nitageuka frontier kufundisha watanzania wote madhara ya kuwekwa huyu mv, kwanza najua ameingia mkenge maana anayo yafanya ni kinyume cha upendo hata unao hubiriawa na mwenge kabla ya Mungu.
Walah nasema, ccm kama mkimleta EL, vita yenu haitakuwa na CDM pekee, bali wazalendo wote. Mashaka juu ya mtu huyu ni mengi, itoshe tu kusema kwamba hafai hata.