Recent content by ngongaz

  1. N

    Kesho Baraza la Maaskofu PCT kumjadili Kikwete !!

    hoja isiyo na mashiko, na inaonekana taasisi yao inajitenga na wenzao ndiyo maana nao wametengwa
  2. N

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    tutajie source.Vilevile haujaeleweka ni shekhe yupi?
  3. N

    Mh.Mbowe na Lema wafika Polisi:Wapokonywa Simu,Maelfu ya Wananchi nao watanda barabara ya AICC

    hao nao ni wapigania uhuru? ni kikundi cha wahuni wanaotaka kuganga njaa!
  4. N

    Msikilizeni Gamba Lukuvi akibwabwaja Bunge ni aibu tupu kwa Taifa letu?

    mpende adui yako usimchukie,atajua tu mwisho wake.
  5. N

    Nyangwine amponda mwigulu

    Rage ataomba mwongozo kwa spika, maana 2-0 zinauma!
  6. N

    juma Nkamia bana! eti simba imefungwa kwa taabu!

    ni kweli,maana walistahili kuwapiga 5.
  7. N

    kusuasua kwa serikali ktk kutoa fedha za chaguzi ndogo

    ikiwa takribani mwezi umebaki kabla ya chaguzi ndogo za madiwani kufanyika mpaka sasa serikali haijatoa fedha kwa ajili hiyo.Inasemekana serikali bado inahofu wapinzani watatwaa kata nyingi hivyo wanawaadaa wananchi kwamba watafanya uchaguzi kumbe hawako tayari. wadau mnalionaje hili?
  8. N

    Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya siku mbili nchini Kuwait

    aaah kaenda shughulikia tupate misaada akimaliza ziara atarudi kujiunga nasi kwenye maombolezo!
  9. N

    Breaking news: Ngasa kuikosa mechi ya simba na yanga

    ha ha ha! huyo ni mtuhumiwa afadhali mechi hiyo awe nje vijana wafanyakazi wapige mzigo!
  10. N

    Natafuta mume wa mtu

    aah unatafuta moto, karibu kwangu!!!
  11. N

    Hivi kuna mwanaume rijali asiye tembea na machangu?

    we mkware acha kutetea maovu, unatakiwa utulie unaposafiri siyo kuhaharisha watu wafanye uzinzi, maandiko ya hayaelekizi hivyo!!
  12. N

    Zitto Kabwe ndani ya Iramba kumvuruga Mwigulu Nchemba

    aah, matatizo ni kila sehemu hata huyo zitto jimboni kwake kuna kero hajazitatua!!
  13. N

    Kada wa CHADEMA Iringa aumizwa kwa kipigo

    kwa kuwa vyombo vya usalama vipo, watachunguza na kutua taarif tusubiri!
Back
Top Bottom