ikiwa takribani mwezi umebaki kabla ya chaguzi ndogo za madiwani kufanyika mpaka sasa serikali haijatoa fedha kwa ajili hiyo.Inasemekana serikali bado inahofu wapinzani watatwaa kata nyingi hivyo wanawaadaa wananchi kwamba watafanya uchaguzi kumbe hawako tayari. wadau mnalionaje hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.