juma Nkamia bana! eti simba imefungwa kwa taabu!

juma Nkamia bana! eti simba imefungwa kwa taabu!

Duh! wadau ni kweli jamani?


Si unajuwa mpira feki jinsi ulivyo? Hapa anasema hivyo kwa sababu anajuwa fika mpira wa Simba na Yanga si mpira bali ni vimbwenga vilivyotawaliwa na uchawi. Na hapa alikuwa anasema hivyo kwa sababu alishapima na kuona kuwa benchi la ufundi (uchawi) la Yanga liliizidi Simba kete. Kwa kifupi; kushabikia Simba na Yanga ni sawa na kukosa la kufanya.....ule si mpira bali ni mashindano ya uchawi. Mwinyi was right kuita mpra wa kibngo kichwa cha mwenda wazimu kwani aliona mbali ila watu walio wengi hawafikiri hivyo kutokana na ufinyu wa mawazo waliyonayo. Huwezi kuwa na akili timamu ukapenda mpira wa Simba na Yanga, hilo mi nakataaa kata kata.
 
kumpa promo mgonjwa wa akili ni ugonjwa wa akili pia

Nkamia should be neglected
 
Si unajuwa mpira
feki jinsi ulivyo? Hapa anasema hivyo kwa sababu anajuwa fika mpira wa
Simba na Yanga si mpira bali ni vimbwenga vilivyotawaliwa na uchawi. Na
hapa alikuwa anasema hivyo kwa sababu alishapima na kuona kuwa benchi la
ufundi (uchawi) la Yanga liliizidi Simba kete. Kwa kifupi; kushabikia
Simba na Yanga ni sawa na kukosa la kufanya.....ule si mpira bali ni
mashindano ya uchawi. Mwinyi was right kuita mpra wa kibngo kichwa cha
mwenda wazimu kwani aliona mbali ila watu walio wengi hawafikiri hivyo
kutokana na ufinyu wa mawazo waliyonayo. Huwezi kuwa na akili timamu
ukapenda mpira wa Simba na Yanga, hilo mi nakataaa kata kata.

mh haya mkuu!
 
Kwa kwa kwa kwakwaaaaa!!!!!!!!!!

Kuna ile story Gang Chomba anapenda kui-refer ya yule baunsa waliyemnaniii kwa shida kichakani, ni kama copy and paste!
 
Alimaanisha Simba alikuwa mgonjwa
sasa alistahiri kufungwa kumi bila

Yaani ameshangaa goli mbili hii ni
kusema hata Yanga yenyewe si nzuri
kabisa. Jaribu kikumbuka mechi ya
UEFA kati ya MAN U vs AS ROMA

As Roma pale OT ilitandikwa 7
hadi Kocha kazi akafukuzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom