Kada wa CHADEMA Iringa aumizwa kwa kipigo

Kada wa CHADEMA Iringa aumizwa kwa kipigo

paul nsangu

Senior Member
Joined
Nov 23, 2012
Posts
179
Reaction score
32
Ndugu wanajamvi,

Kuna taarifa kuwa kamanda wa CHADEMA mkoani Iringa amepigwa na watu wasio julikana,kamanda huyu kwa jina Athanas Mongo amelazwa hospital ya mkoa Iringa wodi no5 takriban ni wiki mbili sasa akiwa hajitambui kabisa.

Kamanda huyu ambaye yupo chini ya uangalizi wa polisi wodini hapo hali yake sio nzuri sana, chanzo cha kipigo hicho mpaka sasa hakieleweki kwani mgonjwa huyo haruhusiwi kuhojiwa na mtu yeyote.

Ndugu wana CHADEMA tunaomba kumtembelea kamanda huyu wodin hapo ili kuonyesha umoja na mshikamano wetu wa kichama Iringa.

Kwa yeyote anayejua zaidi taarifa hizi atujulishe.

viva CHADEMA tutashinda tu dhidi ya udhalimu huu!...................!.
 
Mkuu siyo kila jambo linalompata mwanasiasa liwe na uhusiano na siasa....kuna sehemu nyingine za maisha nyingi tu zinazoweza kusababisha haya mambo....mambo ya unyumba....biashara...nk. Siasa siyo kila kitu kwenye maisha....
 
Tayari tushaingia vitani na sasa tupo katikati tunaelekea kuishinda hii vita ..makamanda popote mlipo don't give up!
 
Mkuu siyo kila jambo linalompata mwanasiasa liwe na uhusiano na siasa....kuna sehemu nyingine za maisha nyingi tu zinazoweza kusababisha haya mambo....mambo ya unyumba....biashara...nk. Siasa siyo kila kitu kwenye maisha....

Huwa ninafarijika sana nikiona bado kuna members tunaoweza kujivunia kuwa ni great thinkers...
 
Mkuu siyo kila jambo linalompata mwanasiasa liwe na uhusiano na siasa....kuna sehemu nyingine za maisha nyingi tu zinazoweza kusababisha haya mambo....mambo ya unyumba....biashara...nk. Siasa siyo kila kitu kwenye maisha....

Acha kutanguliza probabilities....ni siasa na hakuna kingine...tumeshawazoea CCM walishambebea mapanga mbunge wa Iringa mjini...
We are silent but this doesnt mean we dont see!
 
Huwa ninafarijika sana nikiona bado kuna members tunaoweza kujivunia kuwa ni great thinkers...

"Mtu huzungumza yaliyoujaza moyo wake" hivyo utaelewa kwa nini amekomenti hivyo....
Na mara nyingi wanaojishuku hukimbilia probabilities!
 
Acha kutanguliza probabilities....ni siasa na hakuna kingine...tumeshawazoea CCM walishambebea mapanga mbunge wa Iringa mjini...
We are silent but this doesnt mean we dont see!

"Mtu huzungumza yaliyoujaza moyo wake" hivyo utaelewa kwa nini amekomenti hivyo....
Na mara nyingi wanaojishuku hukimbilia probabilities!

Unaonekana umeswitch off centers fulani za ubongo wako.
Tatizo ni kwamba watu mliozoea kuhudhuria vikao vya bavicha huwa mnajisahau na kufikiri kila mahali mnatakiwa kuongea kama kwenye vikao vya bavicha. Kuna wakati inabidi kutumia akili...
 
Unaonekana umeswitch off centers fulani za ubongo wako.
Tatizo ni kwamba watu mliozoea kuhudhuria vikao vya bavicha huwa mnajisahau na kufikiri kila mahali mnatakiwa kuongea kama kwenye vikao vya bavicha. Kuna wakati inabidi kutumia akili...

Unajua maana ya kutumia akili?? Utaendelea kuzungumza yaliyoujaza moyo wako...if you always dream and think of BAVICHA,unafikiri utaona jingine..
Hata usiowajua unawaita BAVICHA....keep on living in assumptions!
 
Unajua maana ya kutumia akili?? Utaendelea kuzungumza yaliyoujaza moyo wako...if you always dream and think of BAVICHA,unafikiri utaona jingine..
Hata usiowajua unawaita BAVICHA....keep on living in assumptions!
Ameniiiiiiiiiiiiii.
 
kwa kuwa vyombo vya usalama vipo, watachunguza na kutua taarif tusubiri!
 
Mkuu siyo kila jambo linalompata mwanasiasa liwe na uhusiano na siasa....kuna sehemu nyingine za maisha nyingi tu zinazoweza kusababisha haya mambo....mambo ya unyumba....biashara...nk. Siasa siyo kila kitu kwenye maisha....




Duh! Ze Marcopolo Comments zako hua zinaniacha hoi sana. Mara nyingi nawaza akili yako ikoje maana inaonekana ubongo wako umechanganyana na Kinyesi. hongera
 
Acha kutanguliza probabilities....ni siasa na hakuna kingine...tumeshawazoea CCM walishambebea mapanga mbunge wa Iringa mjini...We are silent but this doesnt mean we dont see!
Kama unafikiri kwa uhuru utaliona hili...lakini kama unafikiri kwa utumwa kamwe hutaliona hili kwa uhalisia wake...
 
Duh! Ze Marcopolo Comments zako hua zinaniacha hoi sana. Mara nyingi nawaza akili yako ikoje maana inaonekana ubongo wako umechanganyana na Kinyesi. hongera
Mkuu naona kama umechanganya mada....ningekuomba urudie kusoma uzi vizuri kwa umakini....
 
Mkuu siyo kila jambo linalompata mwanasiasa liwe na uhusiano na siasa....kuna sehemu nyingine za maisha nyingi tu zinazoweza kusababisha haya mambo....mambo ya unyumba....biashara...nk. Siasa siyo kila kitu kwenye maisha....
Tatizo wenzako hawayajui hayo,
 
wokovu umekaribia na hakika TUTASHINDA:A S 39:
 
Duh! Ze Marcopolo Comments zako hua zinaniacha hoi sana. Mara nyingi nawaza akili yako ikoje maana inaonekana ubongo wako umechanganyana na Kinyesi. hongera
sijaona tatizo lake ZeMarcopolo kaa ufahamu humu JF kuna watu wao ni kujibu tu na kutukana wala hawataki kuchunguza yaliyomon katika Topic husika
Watu mnaelezwa kuwa yuko wodi No. 5 chini ya POLISI
Hamjui km alishirikiana na Ludo au Lwakatare katika zile Video
Hamjui km ni kibano ataje na wenzake ndio maana yuko katika ulinzi
Haiwezekani mtu uhusishwe na mapenzi au kufumaniwa uwe chini ya ulinzi
Kuna tukio na wala sio dogo kutumaanisha kuwa kwa vile ni mpiganaji wa Chama fulani basi atetewe au kutembelewa Hospital
Walioko Iringa wangefunguka zaidi kwani wengi wapo sahihi tusilaumiane na matusi kibao
 
Last edited by a moderator:
Mkuu siyo kila jambo linalompata mwanasiasa liwe na uhusiano na siasa....kuna sehemu nyingine za maisha nyingi tu zinazoweza kusababisha haya mambo....mambo ya unyumba....biashara...nk. Siasa siyo kila kitu kwenye maisha....

Probabilities za nini? Polisi wangeweza kutoa taarifa inayoaminika kama wasingekuwa one sided. Ninimashaka nao hasa kumlinda kwao na kutoruhusu maajiano yoyote naye. Tunaomba madaktari watimize wajibu wao.

Naomba Mungu amponye haraka aweze kuendelea na majukumu yake ya kujenga chama.
 
Unaonekana umeswitch off centers fulani za ubongo wako.
Tatizo ni kwamba watu mliozoea kuhudhuria vikao vya bavicha huwa mnajisahau na kufikiri kila mahali mnatakiwa kuongea kama kwenye vikao vya bavicha. Kuna wakati inabidi kutumia akili...
vikao vya uvccm wanatumia kichwa ama miguu? Kufikiria?
 
Back
Top Bottom