CCM hamna pa kuponea maana jana nilivyokuwa naangalia TV binti yangu wa miaka kumi aliniambia baba watakuwa CCM ndio wametupa hilo bomu, nikamuuliza wewe unapenda chama gani akasema sina chama ila CCM siwapendi kwanza wezi wakubwa, nikajiaminisha mwisho wa CCM ndio umefika maana ukitaka kujua miaka kumi ijayo hali itakuwaje wakuuliza ni mwenye miaka kumi sasa. kwa heri CCMMwigulu yupo akimsikiliza kwa makini Lukuvu kama vile yeye ndie aliyeandaa tamko lile. Endelee tuu kutuchezea Watanzania maana mwisho wenu waja. Walio na ukweli wa tukio kwa picha ziwekeni kuwaumbua hawa magaidi kama walivyoumbuka kwenye mauaji ya Mwangosi. Halafu eti Chaginja yupo kwenye jopo la uchunguzi kuna kitu hapo?